na ya familia piaPopote ili mradi awe na Elimu tuweze kupeana mawazo ya maendeleo ya taifa
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
Form yako unajazia kwanguKwa hiyo milango IPO wazi pia kwetu eh? Ubarikiwe sana. Sasa form za huo urafiki tunajaza wapi?
Hahaha. Unakaba hadi penalty, huh?Form yako unajazia kwangu
Eeh sasa ni nani anayetaka kufungwa magoli? Ikiwezekana na mpira nautoboa kabisa, hakuna tena gameHahaha. Unakaba hadi penalty, huh?
He he. Point taken.Eeh sasa ni nani anayetaka kufungwa magoli? Ikiwezekana na mpira nautoboa kabisa, hakuna tena game
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
Mkuu Auelewi " Kuzunguka"???Hapa kataja elimu, ila tukijitokeza sisi walimu atatupotezea. Haya bana, kila la kheri.
Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni
Wewe what do you have to offer?
una elimu gani?
unashughulika na nini?
Hahahaha. It is supposed to go both ways! Right?