Nahitaji Rafiki wa kiume

Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni

Njoo pm..elimu plus age vimetulia.warmly welcome.
 
nifind kwenye 0762554489 mie pia nahitaj wa kubadilishana mawazo kama wewe.
 
Nitafute kwa namba hii 0717075102,Elimu yangu in Bachelor degree in Engineering(Bsc.in irrigation &Water resources Engineering)from Sokoine university of Agriculture-Mogorogo nimeshahitimu na niko job.Umri ni 32yrs old
 
Mleta UZI Huu SIJAKUSOMA JINSI Yako!!?? Maana Hii Unatafuta Rafiki Wa Kiume Na Kuna UZI Mwingine Umeuweka, Unasema "TOKA UZALIWE HAUJAWAHI KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE (MSICHANA) Sasa Ni Ww Au Kuna WATU 2 TOFAUTI, Ila MAJINA Ni Sawa ( NELLY BOY) Au Ndio Unacheza Na Akili Za Wanajamvi Tu!! Kweli Mapenzi Yanatawala Dunia, Lkn Kwa Muda Huu Na Maisha Haya MABOVU Ya KIBONGO!!! Ni Kupoteza Tu!!!!
 
Mwanaume wa kubadilishana nae mawazo na kigezo cha elimu kinakujaje tena? Funguka uwe wazi sema unatafuta mchumba na sio mwanaume wakubadilishana mawazo kama unavyo sema
 
Umeshapatdymilly, post: 14340453, member: 321605"]Nahitaji rafiki wa kiume wa kubadilishana nae mawazo kipaumbele cha kwanza awe na Elimu 2.Elimu 3.Elimu pia umri aanzie 28 nakuendelea karibuni[/QUOTE]
Umeshapata njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…