Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mpumbavu sana jamaa nilim DMHapo ndio naposhangaa... Anawaona wenzake vilaza na hawana bidhaa kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumbavu sana jamaa nilim DMHapo ndio naposhangaa... Anawaona wenzake vilaza na hawana bidhaa kali
Mwanangu sana tena! Una shida nae au kakuzingua 😂Kuna yule jamaa wa kuitwa ephrawheelz unamfahamu mkuu?
Akaleta poziMpumbavu sana jamaa nilim DM
Mwanangu sana tena! Una shida nae au kakuzingua 😂
Yeah, sema anapenda sana wide yule... Ukiwa unataka wide nenda pale! Kuhusu ubora ni zile zile tu mkuu... Rim haiwezi kuuzwa laki 6 kwa zote afu utegemee ubora japo zipo za bei tofaut ila asilimia kubwa wauzaji wote wa type ya dick na ephra rim zao huwa ni zile zile tuHapana,rim zake ziko fresh sema wasi wasi wangu kwenye ubora,kitabia mchizi yuko poa,hanaga tabu
Eeh hajibu DMAkaleta pozi
Achana nae yule mkuu...😂😂😂 kwanza hamna kitu anauza kwengine eti usiweze pata!Eeh hajibu DM
Zile Rim zipo kila mahali sababu supply ni ya china wenye uwezo wa kuziagiza ni wengiAchana nae yule mkuu...😂😂😂 kwanza hamna kitu anauza kwengine eti usiweze pata!
Vipi bei ya rim used ikoje ukilinganisha na hizi mpya za mchina?Kama unataka rim kali za mtumba nenda swahili anzia pale fire kutokea muhimbili gari za tegeta huwa zinapita. Sheli ya total fire nenda na ile road mpaka unakuja tokea msimbazi mwendokas road. Kama hujaelewa ni pm utapata ream kali za mtumba
Huwezi kupata mpya kutoka Japan. Hakuna mtu ataileta kwasababu haitauzika. Uwezo wa Wabongo ndio huo rim zote 600,000. Rim OG used set unaweza kuambiwa 1.2-2m je mpya itakuwaje?Asante sana mkuu je naweza kupata wapi mpya?
Vizuri kwa kipi special?dicksound ako vizuri sana.
Hahahahhahah halafu rim za athlete zipo sexy tu sielewi kwanini mtu abadilishe! Kuna rim zinaboaga kwa kweli ila sio straight spoke alloy rims hasa thick ones kama za athlete!Yaani mtu anatoa RIM OG za gari( ambazo manufacturers ndio wamezipimia gari lao) anaenda kuweka mihogo ya kichina!
Juzi kuna mmoja nimekuta anajazana ujinga na mwenzie watoe rim OG za Crown Athlete waweke ming'aro ya kichina!
Njia ya Tandale unapata zile used zikiwa bomba kabisa.Huwezi kupata mpya kutoka Japan. Hakuna mtu ataileta kwasababu haitauzika. Uwezo wa Wabongo ndio huo rim zote 600,000. Rim OG used set unaweza kuambiwa 1.2-2m je mpya itakuwaje?
Yeah na bei zao kule sio mbaya kwasababu ni gari zilizopata ajali. Hawa wauza matairi wana tamaa wakati rims wamepata kwa mtu alievuaNjia ya Tandale unapata zile used zikiwa bomba kabisa.
Eeh kweli kabisa!Yeah na bei zao kule sio mbaya kwasababu ni gari zilizopata ajali. Hawa wauza matairi wana tamaa wakati rims wamepata kwa mtu alievua
Rim zinatoka kiwanda kimoja China ila mikato tu tofauti! Unataka niambia rim za BSN anazouza Ephra na BSN za dicksound zinatofauti?Yeah, sema anapenda sana wide yule... Ukiwa unataka wide nenda pale! Kuhusu ubora ni zile zile tu mkuu... Rim haiwezi kuuzwa laki 6 kwa zote afu utegemee ubora japo zipo za bei tofaut ila asilimia kubwa wauzaji wote wa type ya dick na ephra rim zao huwa ni zile zile tu