Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Wakuu nahitaji saa hii original.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali,niliwahi inunua mwaka 1997, Mjomba akaitamani nikampa,kaenda bar huko Dodoma,jamaa wakawa wananyatia saa,wakampa rungu la kichwani akazimia,kuzinduka saa hana! Nashukuru Mungu hakufa,Saa Casino original.Wakuu nahitaji saa hii original..View attachment 3146045
CasinoBrand gani hiyo
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Umenikumbusha mbali,niliwahi inunua mwaka 1997, Mjomba akaitamani nikampa,kaenda bar huko Dodoma,jamaa wakawa wananyatia saa,wakampa rungu la kichwani akazimia,kuzinduka saa hana! Nashukuru Mungu hakufa,Saa Casino original.
Casino tena Mzee Baba watu waruke nyokaCasino
Pole kwa niaba ya mjombaUmenikumbusha mbali,niliwahi inunua mwaka 1997, Mjomba akaitamani nikampa,kaenda bar huko Dodoma,jamaa wakawa wananyatia saa,wakampa rungu la kichwani akazimia,kuzinduka saa hana! Nashukuru Mungu hakufa,Saa Casino original.
CasioBrand gani hiyo
CasioBrand gani hiyo
Umeamua kunitania 😀😀Umenikumbusha mbali,niliwahi inunua mwaka 1997, Mjomba akaitamani nikampa,kaenda bar huko Dodoma,jamaa wakawa wananyatia saa,wakampa rungu la kichwani akazimia,kuzinduka saa hana! Nashukuru Mungu hakufa,Saa Casino original.
CasioCasino tena Mzee Baba watu waruke nyoka
Ukiangalia Amazon hizi saa si chini ya Laki Mkuu Casio OG. Ila hapa kwetu wanauza bei kama 30,000 hivi so 99% ambazo zipo Tanzania Sio OG.Wakuu nahitaji saa hii original..View attachment 3146045
Umenikumbusha Casio ya Mzee nilichukua baada ya kufariki saa ngumu ile ikaja kupotea pale Mabibo hostel sjui boya gani alipita nayoWakuu nahitaji saa hii original..View attachment 3146045
Simple hii raba rangi ya kijivu ni original sio famba niliinunua kwenye yale maduka ya nguo makumbusho, imetoboa mwaka Na haichuji yaani nikiifua inarudi kuwa mpyami nataka kiatu iko original,,ulinunua shingap nimnunulie huyu jamaa angu🥲🥲
Nitapandia gari nifate huko hukoSimple hii raba rangi ya kijivu ni original sio famba niliinunua kwenye yale maduka ya nguo makumbusho, imetoboa mwaka Na haichuji yaani nikiifua inarudi kuwa mpya
Itakuwa ni mkurungwa huyo😀Umenikumbusha Casio ya Mzee nilichukua baada ya kufariki saa ngumu ile ikaja kupotea pale Mabibo hostel sjui boya gani alipita nayo