Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hukuhudhuria kikao cha juzi nini?mi nataka kiatu iko original,,ulinunua shingap nimnunulie huyu jamaa angu🥲🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukuhudhuria kikao cha juzi nini?mi nataka kiatu iko original,,ulinunua shingap nimnunulie huyu jamaa angu🥲🥲
Casino
Bei yake ni 40000 Ila ukienda kindezi wanakugonga 50000..Ila mimi niliichukua 30000Nitapandia gari nifate huko huko
🤣🤣 yaani nataka nihakikishe sipendi kuambiwa mimHukuhudhuria kikao cha juzi nini?
Nielekeze Jinsi ya kununua kitu amazonUkiangalia Amazon hizi saa si chini ya Laki Mkuu Casio OG. Ila hapa kwetu wanauza bei kama 30,000 hivi so 99% ambazo zipo Tanzania Sio OG.
Link ya official Store Casio Amazon na hio saa
Kama unapenda Vitu OG nunua Online ila inaweza fika laki 2 mpaka Inakufikia mkononi.
Otherwise fanya Research kwa Chinese brand ipi inatoa Saa nzuri italipa hela ya kati ila utapata Quality kubwa.
Ngoj nitakutafuta twende wote ushuhudie navochukua kwa 20000Bei yake ni 40000 Ila ukienda kindezi wanakugonga 50000..Ila mimi niliichukua 30000
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaani nataka nihakikishe sipendi kuambiwa mim
Sio mbaya kwa bei hii na usafiriCASIO MQ 24G-9E
Casio mkuu,humezei!Casino ama casio mkuu, hivi kuna bdanda ya saa inaitwa CASINO🤔
Casio Mkuu, typing error sorry!Casino tena Mzee Baba watu waruke nyoka
CasioCasino
Siku hizi unaweza ukanunua Direct Amazon, kitu kinakuja na DHL ama FedEx sema shipping gharama ni kubwa,Nielekeze Jinsi ya kununua kitu amazon
Hebu nichekie hiyo longines L563Z3 BEI YAKE IKOJE 😄Sio mbaya kwa bei hii na usafiri View attachment 3146072
Kuna tarakimu ya mwisho baada ya Z3Hebu nichekie hiyo longines L563Z3 BEI YAKE IKOJE 😄
OVA
Boxa🤣🤣🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣
Zawadi bado ni zile zile bwana, usitoke kwenye mstari.
Hii ni gold plated kabisaKuna tarakimu ya mwisho baada ya Z3
Ila Longines zina bei
Sijui nije nazo baadhi mwakani huenda nikapata wateja
Ongeza nyama hapo na picha pia mkuu