Nahitaji sana Busara zako kwa hili.

Hommie kwani ile "magic moment" umekunywa saa ngapi mbona unatoa mapoint hapa..au hangover hii?
 
Kwani huyo wa nyumba ndogo mwanaume? La hasha ni mwanamke ambaye naye anahitaji penzi akoshe roho yake pia.........with a light touch....

Wadau naombeni mnifundishe kupost topic.
nenda vyuo vinavyofundisha computer course hatuna muda wa kufundisha hapa, utatulipa?
 
faida za nyumba ndogo ni nyingi sana

1. Inakuliwaza pindi ukiwa umekwaruzana na mkeo
2. Inakupa mahaba kama haina akili nzuri na kufanya mambo makubwa
3. Inatoa mtandao B
4. Zinajua sana kukuliwaza pindi unapopatwa na shida za kidunia
5. Ni sehemu nzuri ya kutumia ziada ya kipato chako
6. Hazishiki mimba na ikitokea akapata anaichoropowa so ni mahabati miaka nenda rudi
7. Wadau wa infi naomba muongeze faida nyingine please.........................
 
kwa kuongeza tafuta nyumba ndogo mmama ili uwe unakulea ukiishiwa au kama wewe ni mpenda mitindo mingi ya kitandani nashauri Shangingi ila unatakiwa usiwe na wivu
 
kwa kuongeza tafuta nyumba ndogo mmama ili uwe unakulea ukiishiwa au kama wewe ni mpenda mitindo mingi ya kitandani nashauri Shangingi ila unatakiwa usiwe na wivu
Duuuu sasa tena shangingi?
 
Hapa nimekubali ushauri huu na nimebadili mtazamo wangu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…