Nahitaji Sex Patner Wa kike

Nahitaji Sex Patner Wa kike

Umri wako na matamanio yako wamakonde wanasema KULANDANA ... sasa we endelea kujichukulia cheria mkononi tu, Ya dunia bado hujayajua Bwa mdogo
 
Kwanza wahakikishie 'kutuma na ya kutolea'... kisha pm yako itapata mafuriko!

-Kaveli-
 
Habari za uzima wapendwa natumai ni wazima wa Afya
Rejea mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwa ajili ya kusex tuu no serious relationship maana nipo busy kutafuta pesa na sitaki mwanamke anaejiuza nataka ambaye nae yupo busy na mambo yake ila tusaidiane kuepuka madhara ya punyeto.
Taratibu zote za kiafya zitafuatwa kwa vipimo thabiti vya kiafya baina yangu na yeye najua inawezekana kama utapendezwa inbox me please am straight sihiitaji mapunga tafadhali
Umejieleza vizuri bali wapuuzi ndio hawakuelewi
 
Habari za uzima wapendwa natumai ni wazima wa Afya
Rejea mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwa ajili ya kusex tuu no serious relationship maana nipo busy kutafuta pesa na sitaki mwanamke anaejiuza nataka ambaye nae yupo busy na mambo yake ila tusaidiane kuepuka madhara ya punyeto.
Taratibu zote za kiafya zitafuatwa kwa vipimo thabiti vya kiafya baina yangu na yeye najua inawezekana kama utapendezwa inbox me please am straight sihiitaji mapunga tafadhali
Mleta mada bado upo kwenye belehe
 
Tumetoka kwenye bussnes partner tupo kwenye sex partner vijana wanaupiga mwingi
 
Tumetoka kwenye bussnes partner tupo kwenye sex partner vijana wanaupiga mwingi
Mnazingua ndio maana tunakuja na hi option. Nani anataka yamkute yaliyomkuta jamaa yetu aliye ita demu guest alafu asimkule
 
Ili wahi kunitokea hii tukapanga kabisa sisi tulikuwa tunaita friends for benefit .
Mkaka tajiri kabisaa na pia ananisaidia vitu sasa siku moja sex partner wangu alinikuta na bro mmoja tunashare milk shake weeh ! Akashindwa kuvumilia akashuka akampiga yule bro kofi basi nikazimia huku nikiwaachanisha na ninakumbuka nilizimia kisa nilikatwa ngumi kama nini.

So nikaachwa na bro na nikabaki kwetu basi akaja kuniambia ananipendaga hakuwa clear wee hi kitu sitaki tena inaharibu serious relationships hii nilikemea kuanzia hapo.
Nipindishwe jino.
Nakuzindukia hospitali
 
Back
Top Bottom