Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Wakuu salama.
Nahitaji shamba la kulima mahindi mkoa wa Katavi. Linaweza kuwa pori nisafishe au shamba la mtu anayehama.
Wilaya ninazohitaji Ni: Tanganyika au Mlele
Shamba la karibu na mto itapendza zaidi.
Angalizo: Isiwe kwenye hifadhi yoyote.
Leteni offa.
Nahitaji shamba la kulima mahindi mkoa wa Katavi. Linaweza kuwa pori nisafishe au shamba la mtu anayehama.
Wilaya ninazohitaji Ni: Tanganyika au Mlele
Shamba la karibu na mto itapendza zaidi.
Angalizo: Isiwe kwenye hifadhi yoyote.
Leteni offa.