Nahitaji simu nzuri upande wa camera, Processor na storage(ROM) kuanzia 64GB Ila isiyo Apple

Nahitaji simu nzuri upande wa camera, Processor na storage(ROM) kuanzia 64GB Ila isiyo Apple

Kunguru wa Unguja

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
1,762
Reaction score
1,823
Jamaan wadau wa humu JF jukwaa la matangazo madogo madogo habari za muda huu

Kiufupi ni kwamba nahitaji simu nzuri upande wa camera, processor na storage kuanzia 64GB na pia iwe ina betri lenye uwezo wa kukaa na chaji muda mrefu yaani haiishi chaji kwa haraka angalau kuanzia 5000 mAh ila hata kam ni chini ya hapo lakn inauwezo wa kukaa na chaji.

Pia kama unaushauri wowote kuhusu ni lipi chaguo zuri una uhuru kutoa ushauri... budget yangu 250k
 
Jamaan wadau wa humu jf jukwaa la matangazo madogo madogo habari za muda huu

Kiufupi ni kwamba nahitaji simu nzuri upande wa camera, processor na storage kuanzia 64GB na pia iwe ina betri lenye uwezo wa kukaa na chaji muda mrefu yaani haiishi chaji kwa haraka angalau kuanzia 5000 mAh ila hata kam ni chini ya hapo lakn inauwezo wa kukaa na chaji.

Pia kam unaushauri wowote kuhusu ni lipi chaguo zuri una uhuru kutoa ushauri ...budget yangu 250k
Kwa hizo specs na budget yako.. haziendani mkuu.. kupata simu yenye hizo spec nakushauri uwe na budget kuanzia 400k au lasivyo upunguze baadhi ya spec na upate simu used.

Ukitaka simu yenye betri nzuri 5000mah kwa 250k basi itakuwa camera ya kawaida sana na pia specs (processor) zake ni zile simu ambazo hazidumu kama tecno, infinix e.tc

Ila unaweza pata simu yenye camera nzuri, 64 GB, uwezo mzuri sana (processor)unaweza dumu nayo muda ila betri kipengele around 2800 mah.. kama google pixel 2XL, pixel 3 au pixel 3a used around hiyo budget yako unaweza pata.
 
Kwa hizo specs na budget yako.. haziendani mkuu.. kupata simu yenye hizo spec nakushauri uwe na budget kuanzia 400k au lasivyo upunguze baadhi ya spec na upate simu used.

Ukitaka simu yenye betri nzuri 5000mah kwa 250k basi itakuwa camera ya kawaida sana na pia specs (processor) zake ni zile simu ambazo hazidumu kama tecno, infinix e.tc

Ila unaweza pata simu yenye camera nzuri, 64 GB, uwezo mzuri sana (processor)unaweza dumu nayo muda ila betri kipengele around 2800 mah.. kama google pixel 2XL, pixel 3 au pixel 3a used around hiyo budget yako unaweza pata.
Ahsante mkuu kwa ushauri wako mzuri ila Mkuu naomb kuulza kam nkiwa na hy 400k unanishaur nchukue aina gan yaan upande wa kutunza chaji na vingne nlvyovitaja angalau kwa storage ianzie 64GB?
 
Tafuta simu inaitwa Xiaomi Redmi 9,nzuri sana inakaa na charge, camera nzuri, gb64 na ram 4gb
Hyo ni nzur ila bora achkue note 11 man ndo imeboreshwa zaid na nahis ndo simu bora kwa simu zenye badget chini ya 500k
 
Hyo ni nzur ila bora achkue note 11 man ndo imeboreshwa zaid na nahis ndo simu bora kwa simu zenye badget chini ya 500k
ahsante mkuu kwa ushaur wako ila hy note 11 naweza kupata kwa bei gan ili nijue natafuta kiasi flan cha pesa
 
Ahsante mkuu kwa ushauri wako mzuri ila Mkuu naomb kuulza kam nkiwa na hy 400k unanishaur nchukue aina gan yaan upande wa kutunza chaji na vingne nlvyovitaja angalau kwa storage ianzie 64GB?
Nipe hio 250,000 nikuachie tecno yangu.
Screenshot_20220712-181236.png
 
Back
Top Bottom