habari pole sana
hilo tatizo linaitwa insomnia husababishwa na vitu ving kama mawazo au ubongo kwani ubongo una part ndogo sana inayoweza kukufanya ulale au uamke sasa sehemu hyo ikiwa disturbanced husababsha tatizo hilo hivyo kuna dawa mbalimbali za hospital lakin huwa zina side effect kubwa ukitaka kujua hzo dawa nitafute
lakini pia kuna dawa ya asili ni vidonge visivyo na chemicals
dawa ina itwa MELATONIN
FUNCTION
1.It helps to control natural sleep-wake cycle
2.readjust the body biological clock - such as treating insomnia, jet leg and other sleep disorder reduces secrection from human body about 10-16% every years
3 .maintain melatonin level as youth can help to restore the biorhythms as youth slow down aging process
4.improve quality of sleep
hizo ndo kaz zake kubwa
0765650028 kwa msaada zaid