Nahitaji soft copy ya rasimu ya katiba

Nahitaji soft copy ya rasimu ya katiba

Check ur mailbox nishakutumia
Jamani iwekeni hapa basi na wengine tunufaike! Sasa mnakimbilia kwenda kutongozana PM huko badala ya kuiweka hadharani!! Ha ha ha ha haaaaaa! Mkuu hayo mengine ni utani tu usije ku-mind sana, ila tunaomba utuwekee hapa mkuu!!
 
Back
Top Bottom