hongera sana
Kumiliki huo mzigoMbona hongera kaka
hongera sana
Uko mkoa gani Mkuu?Habari zenu members
Naomba kujua soko la madini aina ya Quartz lilipo kwa nchi yetu hii ya Tanzania na pia bei yake kwa kilo.
View attachment 1325154
Kuna jamaa ntakutumia namba yake yuko arusha wao wananunua kg1 90000 mpk 100000Habari zenu members
Naomba kujua soko la madini aina ya Quartz lilipo kwa nchi yetu hii ya Tanzania na pia bei yake kwa kilo.
View attachment 1325154
Njoo in box mkuu nikupe mchongo tuone kama tutayajenga bossKuna jamaa ntakutumia namba yake yuko arusha wao wananunua kg1 90000 mpk 100000
Ila size Kuanzia kg1 and above
Yaani piece kwa jiwe liwe uzito huo
Jamaa yuko na mzungu hpo chuga
Ila make sure mchongoko wa juu Yaani nncha
Unaitunzaa usivunjee maana Ina add value
From mrangi ambaye syo mchoyo wa connection
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bei imeekaaje sasa hivi kuna ndugu yangu mmoja ana plot yenye deposit ya quartz crystal kuna wachina walikuwa wamesha kubaliana nae(gentleman agreement ) sema walivyoondoka hawakurudi tena kutokana na janga la corona ...Kuna jamaa ntakutumia namba yake yuko arusha wao wananunua kg1 90000 mpk 100000
Ila size Kuanzia kg1 and above
Yaani piece kwa jiwe liwe uzito huo
Jamaa yuko na mzungu hpo chuga
Ila make sure mchongoko wa juu Yaani nncha
Unaitunzaa usivunjee maana Ina add value
From mrangi ambaye syo mchoyo wa connection
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa bei imeshuka sababu ya CoronaMkuu bei imeekaaje sasa hivi kuna ndugu yangu mmoja ana plot yenye deposit ya quartz crystal kuna wachina walikuwa wamesha kubaliana nae(gentleman agreement ) sema walivyoondoka hawakurudi tena kutokana na janga la corona ....
Makubaliano yao yalikuwa nikwamba wao wanafanya kila kitu ila watakuwa wanamlipa pesa per tone inayochimbwa .....kiupande wangu niliona pesa hiyo ni ndogo ila nahisi thamani inaweza ikaongezeka kama akifanya kitu cha tofauti naomba ushauri mkuu
Mwambie achimbe mwenyewe, na wewee umuongezee nguvu!Mkuu bei imeekaaje sasa hivi kuna ndugu yangu mmoja ana plot yenye deposit ya quartz crystal kuna wachina walikuwa wamesha kubaliana nae(gentleman agreement ) sema walivyoondoka hawakurudi tena kutokana na janga la corona ....
Makubaliano yao yalikuwa nikwamba wao wanafanya kila kitu ila watakuwa wanamlipa pesa per tone inayochimbwa .....kiupande wangu niliona pesa hiyo ni ndogo ila nahisi thamani inaweza ikaongezeka kama akifanya kitu cha tofauti naomba ushauri mkuu
Nashukuru kwa points mkuu ....shida yake ni mtu ambaye anaamini kwamba chochote kinachohusu madini ni uchawi najaribu mkusanyia point za msingi nimatumaini yangu atanielewa anajiweza sana shida ni mtazamo wakeMwambie achimbe mwenyewe, na wewee umuongezee nguvu!
Quartz kuchimba rahisi hafu hazikai mbali...
Wapo Walokole wanachimba Madini, hawachinji hata Kuku wala kufanya Ushirikina wowote zaidi ya Maombi.Nashukuru kwa points mkuu ....shida yake ni mtu ambaye anaamini kwamba chochote kinachohusu madini ni uchawi najaribu mkusanyia point za msingi nimatumaini yangu atanielewa anajiweza sana shida ni mtazamo wake
Mzee baba kama hilo jiwe unalo ntafute tufanye biashara. ..+255758759239Habari zenu members
Naomba kujua soko la madini aina ya Quartz lilipo kwa nchi yetu hii ya Tanzania na pia bei yake kwa kilo.
View attachment 1325154
nsaidie namba ya hao jamaana mm niazo quartsKuna jamaa ntakutumia namba yake yuko arusha wao wananunua kg1 90000 mpk 100000
Ila size Kuanzia kg1 and above
Yaani piece kwa jiwe liwe uzito huo
Jamaa yuko na mzungu hpo chuga
Ila make sure mchongoko wa juu Yaani nncha
Unaitunzaa usivunjee maana Ina add value
From mrangi ambaye syo mchoyo wa connection
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app