Ni kweli na ndio maana nikasema mbichi kabisa...namaanisha iko bomba..then wabongo sikuiz tunanunua plate namba mzee..wengi hawapendi kutumia namba A au B hata kama imenyooka..na ukiwa na namba D unaweza mkaza mtu akajinyima akakosa ata ela ya mafuta ya kurudia mkoani ilimaradi ailipie ata kama ina ubovu anakwambia ntatengeneza nikifika..Namba plus matunzo ya gari.Kuna gari namba D ziko hoi kutokana na rough driving.Na kuna watu wana magari namba A bado yako super.
Haa haa vijana nyie ndiyo mnaangalia hayo mambo ya namba mambo ya Kisasa.Mm nina Hilux 2.8 ina namba A lakini nikiipeleka sokoni naiuza na kunununua hizi gari ndogo zenye namba D kama 3 au nne hivi.......Ni kweli na ndio maana nikasema mbichi kabisa...namaanisha iko bomba..then wabongo sikuiz tunanunua plate namba mzee..wengi hawapendi kutumia namba A au B hata kama imenyooka..na ukiwa na namba D unaweza mkaza mtu akajinyima akakosa ata ela ya mafuta ya kurudia mkoani ilimaradi ailipie ata kama ina ubovu anakwambia ntatengeneza nikifika..
Zipo kibaoJipange ndugu,hutopata subaru kwa bei hiyo......
Zipo kibaoJipange ndugu,hutopata subaru kwa bei hiyo......
Nishapata Mkuu usipoteze muda, wakatisha tamaa walikuwepo toka enzi zile nanyi hamkuja kwa bahati mbaya Mungu kawaleta kwa makusudi yake kama haya, ila hapa umechelewa maana mambo yameenda kasi mno, kesho nipo njiani nalenga madaraja tu Mkuu kurudi home na Forester[emoji1]