RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
Hehehee. Hicho cha cylinders nne kina nafuu. Cha cylinders tatu ni balaaIla ujiandae aisee, ka passo ukikawasha kanatetemeka mpk utataka kukimbia.Ila ikishachochea vzr mitetemo inaisha.
Hahah kama ya cylinder 4 ndio shida hivyo,basi hio cylinder 3 itakua balaa mkuu hahahHehehee. Hicho cha cylinders nne kina nafuu. Cha cylinders tatu ni balaa
Ni balaa aise, acha tuu hehehee.Hahah kama ya cylinder 4 ndio shida hivyo,basi hio cylinder 3 itakua balaa mkuu hahah
Hahah hatari mkuuNi balaa aise, acha tuu hehehee.
Kaongeza na za kwake huyu
Unachekesha kweli Passo una million 4 unataka no.c hujui bei ya magari tafuta corola tu ya 3.5 piston 4 ipo juu
na ka swift kanapatikana kwa bei gani Mkuu namba ataikiwa b.kuna mdada anatafuta akozipo usibishe... mimi namfaham jamaa kanunua namba c kwa mil 4.3 nzuri kabisa na hakufanya lolote zaidi ya kuweka mafuta mpaka sasa ni mwezi wa 3 hajapeleka gari kwa fundi. zipo tena za 3 pistons hadi namba d unapata kwa 4 mil. unaweza ukadhani unajua kumbe hujui.
nunua bajaji mataili matatu upate kipato tu.Wadau gharama za mafuta kila siku zinanishinda naishi mbali mwisho wa dunia. Gari ninayotumia ina 6 cyls 3000CC .
Kuna jamaa yangu anakuja na vitz yake anaenjoy sana.nami nmeamua nitafute toyota passo ya 4 pistons kwa mtu mwenye shida ya pesa ntampatia mil 4. Namba kuanzia C na kuendelea. Mwenye nayo awasiliane nami.kama unajua huna basi si mbaya ukasoma tu thread ukaiacha.