RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
Hehehee. Hicho cha cylinders nne kina nafuu. Cha cylinders tatu ni balaaIla ujiandae aisee, ka passo ukikawasha kanatetemeka mpk utataka kukimbia.Ila ikishachochea vzr mitetemo inaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehee. Hicho cha cylinders nne kina nafuu. Cha cylinders tatu ni balaaIla ujiandae aisee, ka passo ukikawasha kanatetemeka mpk utataka kukimbia.Ila ikishachochea vzr mitetemo inaisha.
Hahah kama ya cylinder 4 ndio shida hivyo,basi hio cylinder 3 itakua balaa mkuu hahahHehehee. Hicho cha cylinders nne kina nafuu. Cha cylinders tatu ni balaa
Ni balaa aise, acha tuu hehehee.Hahah kama ya cylinder 4 ndio shida hivyo,basi hio cylinder 3 itakua balaa mkuu hahah
Hahah hatari mkuuNi balaa aise, acha tuu hehehee.
Kaongeza na za kwake huyu
Unachekesha kweli Passo una million 4 unataka no.c hujui bei ya magari tafuta corola tu ya 3.5 piston 4 ipo juu
na ka swift kanapatikana kwa bei gani Mkuu namba ataikiwa b.kuna mdada anatafuta akozipo usibishe... mimi namfaham jamaa kanunua namba c kwa mil 4.3 nzuri kabisa na hakufanya lolote zaidi ya kuweka mafuta mpaka sasa ni mwezi wa 3 hajapeleka gari kwa fundi. zipo tena za 3 pistons hadi namba d unapata kwa 4 mil. unaweza ukadhani unajua kumbe hujui.
nunua bajaji mataili matatu upate kipato tu.Wadau gharama za mafuta kila siku zinanishinda naishi mbali mwisho wa dunia. Gari ninayotumia ina 6 cyls 3000CC .
Kuna jamaa yangu anakuja na vitz yake anaenjoy sana.nami nmeamua nitafute toyota passo ya 4 pistons kwa mtu mwenye shida ya pesa ntampatia mil 4. Namba kuanzia C na kuendelea. Mwenye nayo awasiliane nami.kama unajua huna basi si mbaya ukasoma tu thread ukaiacha.