muyumbu
Member
- Jul 3, 2014
- 23
- 10
Habari wanajamvi.
mimi ni mwanafunzi wa accountant pale T.I.A main campus naingia mwaka wa pili sasa ila hali yangu sio nzuri sana katika hilo somo ambalo ni co subject naomba connection ya mwalimu atakae nifundisha kuanzia what's z bookkeeping na kuendelea...
Asanteni
mimi ni mwanafunzi wa accountant pale T.I.A main campus naingia mwaka wa pili sasa ila hali yangu sio nzuri sana katika hilo somo ambalo ni co subject naomba connection ya mwalimu atakae nifundisha kuanzia what's z bookkeeping na kuendelea...
Asanteni