G Gugwe Senior Member Joined Jul 25, 2011 Posts 122 Reaction score 54 Jan 16, 2015 #1 Habari wadau, Nipo Arusha ninahitaji Tumbaku kwa ajili ya soko la nje zenye specification zifuatazo: Full leaf with 1 year storage, nicotine 0.7%-1.3%. Not much spice. Mwenya taarifa au uwezo wa kunisupply tuwasiliane.
Habari wadau, Nipo Arusha ninahitaji Tumbaku kwa ajili ya soko la nje zenye specification zifuatazo: Full leaf with 1 year storage, nicotine 0.7%-1.3%. Not much spice. Mwenya taarifa au uwezo wa kunisupply tuwasiliane.
tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 Jan 16, 2015 #2 I ni ngumu kupata tumbaku iliyo kaa mwaka,sababu inauzwwa baada ya kukaushwa ili kurudisha mkopo bank nakuanza kuandaa shamba.
I ni ngumu kupata tumbaku iliyo kaa mwaka,sababu inauzwwa baada ya kukaushwa ili kurudisha mkopo bank nakuanza kuandaa shamba.