Nahitaji Tumbaku-Kwa Kiwango Kikubwa

Gugwe

Senior Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
122
Reaction score
54
Habari wadau,

Nipo Arusha ninahitaji Tumbaku kwa ajili ya soko la nje zenye specification zifuatazo: Full leaf with 1 year storage, nicotine 0.7%-1.3%. Not much spice.

Mwenya taarifa au uwezo wa kunisupply tuwasiliane.
 
I ni ngumu kupata tumbaku iliyo kaa mwaka,sababu inauzwwa baada ya kukaushwa ili kurudisha mkopo bank nakuanza kuandaa shamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…