Nahitaji TV

Nahitaji TV

Kama ni Mvumilivu na Upo Dar (hapa ni urahisi wa kufwata mzigo) mtafute Chris Lukosi Facebook kisha ingia kwenye website yake ununua TV Kubwa Inch 50 smart TV used from London Lwa hio 400k Aina Mbalimbali kama Panasonic,Samsung, LG nk. SIFA UVUMILIVU
Natumai hamjambo wadau, nahitaj tv inch 43 smart. Kampuni hzi.
1. Mewe
2. Tcl
3. Good vission

Ofa yangu ni laki 4.
 
Hiwezi pata kwa iyo bei labda kama ni tapeli
Screenshot_2025-03-02-00-07-48-533_com.whatsapp.jpg
Nenda hapo


Kwenye Website kuna inch 50 separate 400k tu mpaka inafika Bongo utafata Warehouse yao Bunju huko.

Kama huamini basi subiria wabongo wakishanunua waje wakuuzie Inch 50 brand tajwa kwa milioni Moja na ushee. Maamuzi ni yako.
 
View attachment 3255325Nenda hapo

Kwenye Website kuna inch 50 separate 400k tu mpaka inafika Bongo utafata Warehouse yao Bunju huko.

Kama huamini basi subiria wabongo wakishanunua waje wakuuzie Inch 50 brand tajwa kwa milioni Moja na ushee. Maamuzi ni yako.
NimenunUa inch 43 smart 4K LG used from USA bei sio ya kizembe
 
Back
Top Bottom