Nahitaji ubia kwenye kuchimba Feldspar

Nahitaji ubia kwenye kuchimba Feldspar

Loudspeaker

Member
Joined
Feb 8, 2021
Posts
88
Reaction score
107
Hello wana jamvi,

Matumaini yangu wote ni wazima asubuhi ya leo na ni siku nyingine alietupa Mungu kwa ajili ya mapambano, they say every new day as new opportunities.

Mimi ni mchimbaji wa Feldspar, nimekuwa kwenye fani tangu September 2020, ambapo nilianza kwa kufanya survey ya feldspar mkoa wa Morogoro, nimezunguka vijiji kadhaa for a period of two years in searching for a mine ambao utakuwa productive.

Nashukuru Mungu kwakuwa aliona hitaji langu, nimefanikiwa kupata mgodi mzuri sana wa Tinted mwamba wake umejengea mlimani, na quality ya jiwe ni zuri sana.

bcd0bcff-88ee-4d4b-9233-14a157525b2b.jpg

Order ya haya mawe teyari ninayo, tani inaenda kwa 15m, na mgodi unaweza zalisha matani na matani kwa mwezi tukiungana na kupiga kazi tutakuwa na uwezo wa kuzalisha kuanzia tani tano kwa mwezi na kuleta mzigo sokoni Dar.

Ninachohitaji hasa ni nguvu Watanzania wenzangu, nahitaji mtu wa kuingia nae ubia, tuanze hii safari pamoja ya uvunaji. Site teyari nimeipata na nimeifanyia survey pia. Kwa yoyote ataekuwa interested anaweza nitafuta on Whatsapp 0788257485 ili tuanze panga mikakati.

We can meet up tuijadili plan kwa mapana na pia twende mgodini ili ukaone mwenyewe na kujiridhisha, na kama utataka twende na geologist wako unaemuamini ili akakusaidie kukagua mkanda, then doors are opened. Ukishajiridhisha, tunasaini mkataba, then kazi inaanza.

Mimi kwa sasa sina nguvu ya kuanza ku-mine hapo, kuna pesa nilikuwa naitegemea ila naona hiyo pesa mpaka mwakani, na kwasasa inabidi kazi ianze ili by Christmas tuwe teyari tumeanza kupata profit.

Nguvu inayohitajika hapo ni compressor na hela ya kuendesha kazi ndani ya wiki tatu za awali baada ya hapo tutakuwa teyari na mzigo wa kutosha, mgodi utaanza jiendesha baada ya hapo.

Kwa yoyote ambae ni mpambanaji kama mimi, yupo serious na anataka ingiza pesa yake kwenye mzunguko, then hii ni fursa ndugu zangu. Mimi ni kijana nilimaliza geology hapo UD mwaka 2018, baada ya hapo nilivyoona ajira hakuna nikajiongeza kwenye kutafuta ramani ya mgodi ambao niliamini ipo siku utaanza nilipa na kuwa kazi kubwa ya kimataifa, cause hiyo tinted tukiipeleka Hongkong tunapata pesa nzuri sana.
 
Hello wana jamvi,,matumaini yangi wote ni wazima asubuhi ya leo,,na ni siku nyingine alietupa Mungu,,kwaajili ya mapambano,,they say every new day as new opportunities...
Ningekua loaded, nningehakikisha tunashirikiana. But all in all kila la kheri mkuu, tuombe upate mtu anaejielewa na upate mafanikio
 
Hello wana jamvi,,matumaini yangi wote ni wazima asubuhi ya leo,,na ni siku nyingine alietupa Mungu,,kwaajili ya mapambano,,they say every new day as new opportunities...
Kaka,hebu pitia link yangu hii hapa uone unaweza kuniweka upande upi.[emoji1370]
 
Mnadanganywa

Feldspar bei yake ni dollar 70-110 kwa Tonne....

Watanzania muache uongo na kutaka tapeli watu..

Kama wajiamini onesha uthibitisho wa eneo
Onesha mining license

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Stop being negative kaka,,acha husda...kwanza kuhusu bei inategemea na aina gani ya feldspar,,,hiyo bei unayohitaja wewe ni ya Makacha kacha,,,sio quality feldspar nazo deal nazo mimi mzee,,,na unaonekana ata feldspar huijui,,,unaijua kwa kuisikia tu kwa watu...kuna black golden shine feldspar,,tani inaenda mpaka 50m,,tena unauzia porini kwa 50m,,,so acha husda ndugu,,,ndo maana nikapost na hiyo picha,,ili kama una wasiwasi tafuta madalali wa mawe mjini then waulize hiyo feldspar sokoni inaenda kwa bei gani,,watakuelekeza...STOP BEING NEGATIVE,,,Leseni yangu humu siwezi iweka ndo maana I was clear nilivyosema kama kuna mtu atakuwa interested then anicheki....tutadiscuss kila kitu kwa mapana....huwezi weka documents zako hadharani to that extent just bkoz u want support...mtu akiwa interested atanicheki,,tutaonana,,,nitamuonesha kila kitu na nina uhakika wa asilimia 100 kazi ataipenda,,,koz hakuna utapeli hapo,,,sijaomba advance ya mtu mimi hapo,,kila kitu kitaenda kwa uwazi,,na huyo partner kama akitaka kwenye leseni nitamuingiza,,,yani kila kitu ni kwa uwazi....usikariri kila anaekuja na idea basi ni tapeli...sio poa kabisa
 
Mnadanganywa

Feldspar bei yake ni dollar 70-110 kwa Tonne....

Watanzania muache uongo na kutaka tapeli watu..

Kama wajiamini onesha uthibitisho wa eneo
Onesha mining license

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mimi pia nimeshagazwa na hiyo bei ya 15mil per ton!.

Kama ni kweli soko analo la 15mil per ton itabidi awe tayari kuonesha hiyo contract.
 
Mimi pia nimeshagazwa na hiyo bei ya 15mil per ton!.
Huyu ni tapeli, anataka tapeli watu.
Matapeli hupenda weka bei kubwa ili kuingiza watu Kingi

Compressor bei yake ni ndogo hata kwa 15 mil waipata CompAir 3 piston, Unapata Digger Y 24
Unapata tarimbo 3
Bit za kuanzia kazi
Mipira ya upepo

Kama hiyo ndo bei ya tani moja anashindwaje tumia hata mkono anunue hivyo vifaa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni tapeli, anataka tapeli watu.
Matapeli hupenda weka bei kubwa ili kuingiza watu Kingi

Compressor bei yake ni ndogo hata kwa 15 mil waipata CompAir 3 piston, Unapata Digger Y 24
Unapata tarimbo 3
Bit za kuanzia kazi
Mipira ya upepo

Kama hiyo ndo bei ya tani moja anashindwaje tumia hata mkono anunue hivyo vifaa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Unafahamu aina ngapi ya Feldspar?!! Maana kuna feldspar za aina nyingi,,,tinted bei yake ni millioni 15 kwa tani,,,ukiuza kwa kulaliwa sana ni 10m,,,,,carrot tu ambayo mimi si deal nayo tani ukilaliwa sana ni 2m...sasa hizo bei za dollar mia kwa tani sijui unachimba jiwe gani ndugu,,,labda kama unachimba makacha kacha ya viwandani,,,ambayo inabidi uchimbe na excavator na order zinaanzia tani 30 na zaidi huko...mimi naongelea feldspar semi gem....Soko nimelifanyia survey ya kutosha kaka,,,siji hapa kwa kubahatisha....kama unaona mimi muongo basi sawa,,,wenye nia watafuatilia maana picha ya sample nimeiweka...Nenda kinondoni pale,,,ulizia bei ya ilo jiwe,,,nakupa nafasi utafute order mwenyewe,,masokoni nitakuelekeza...Sasa nashangaa unabisha bei ya tinted,,wakati kuna golden shine ile nyeusi tiiii,,,inapiga bati la dhahabu kabisa,,,hiyo tani inaanzia 50m...Embu fuatilia kaka,,nachoona una knowledge ya uchimbaji ila jiwe ili la feldspar bado geni kwako,,,fanya survey...MIMI SIO TAPELI JAMANI...
 
Back
Top Bottom