Nahitaji ubia kwenye kuchimba Feldspar

Nahitaji ubia kwenye kuchimba Feldspar

Huyu ni tapeli, anataka tapeli watu.
Matapeli hupenda weka bei kubwa ili kuingiza watu Kingi

Compressor bei yake ni ndogo hata kwa 15 mil waipata CompAir 3 piston, Unapata Digger Y 24
Unapata tarimbo 3
Bit za kuanzia kazi
Mipira ya upepo

Kama hiyo ndo bei ya tani moja anashindwaje tumia hata mkono anunue hivyo vifaa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa unaonekana unauelewa sana kuhusu Mining... uko vzr
 
Back
Top Bottom