kwasukwasu
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 120
- 135
Uliwaangalia waendesha magari ya mashindano, wanavaaga hizo dude. Nadhani sio illegal ni kwa safety purpose.kuendesha gari umevaa helment ya pikipiki jee
ukisoma chuo cha udreva kuva viatu n moja ya sheria.Vipi umekamatwa nini? Tunaomba share na sisi nini kimekusibu.