Habarini wanaJF,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nataka kufanya biashara ya bodaboda na kirikuu, sasa nahitaji ushauri wa vtu vya msingi navyopaswa kuvifanya kabla ya kumkabidhi dereva chombo apart from just kuandikishana mkataba.
Sina uzoefu kabisa na hii biashara. Msaada wenu ni wa muhimu sana, natanguliza shukrani.