Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Samahani , Unaweza Weka Chini Mchanganuo wa iyo 10 Mil ,Kimoja kinagharimu around 10m mfano hivyo ninavyo ndio business yangu
[emoji15][emoji15][emoji15] Akiweka mchanganuo nishtue niko paleeSamahani , Unaweza Weka Chini Mchanganuo wa iyo 10 Mil ,
Ujenzi wa Sebule , Choo , Jiko , Chumba
Hata mimi nasubiri[emoji15][emoji15][emoji15] Akiweka mchanganuo nishtue niko palee
Sababu bado ni mwanafunzi nakushauri usianzishe biashara maana itakusumbua usimamizi.Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa.
Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo.
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Daah nilivyoona tu hizo digits nikacheka😆Nunua ng'ombe 80 wakati wa kiangazi kama kambako na Maksai chagua zile zenye miili mikubwa let say 400,000 × 80 = 32,000,000.
Kanunulie huko minada ya Kondoa, Singida na Dodoma than tafuta eneo Morogoro hata heka 10 let say kila 200,000 × 10 = 2,000,000 weka budget za Pumba via mashudu plus malipo kwa wachungaji, Dokta na usafirishaji weka 4,000,000 Jumla hapo 32,000,000 + 2,000,000 + 4,000,000 = 38,000,000 Baada ya miezi 3 zikinenepa unauza 750,000 × 80 = 60,000,000 kupanga nikuchagua [emoji3][emoji24]
Mm sio motivation speaker ujue weka pesa uvune utajiri[emoji2][emoji23]Daah nilivyoona tu hizo digits nikacheka[emoji38]
Wazo la kijinga sanaJenga pangisha.
Pole sana.Nilipo Mimi unajenga mwezi unalaza kuanzia Laki nane mpaka milionWazo la kijinga sana
Wapi huko Uliko rafiki ang,Daah yaani watu tupo vijijini tunatafuta mitaji ya kupiga pesa watu wanacheza na hizi pesa.
40M ukinipa mimi nakuwa tajiri maisha.
Njoo tufanye dili za korosho huku kusini huu ndio msimu wake aisee,tutaonana ana kwa ana tufanye kazi mguu kwa mguu mpaka mashambani then utanilipa kama mfanyakazi wako
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa.
Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo.
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante