Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Mmh,Ni kweli. Ila Baada ya kufungua mirathi na kuwaandikisha watoto wangu kama warithi nimekua adui wamenifungulia kesi kwann siku waandika kama warithi?
Mkuu kadri unavoendelea kujibu nahisi kama unachanganya mafaili. How comes wakufungulie kesi