Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Nilikuwa na kesi ya ardhi ambapo mtu alivamia eneo langu na kudai ni la kwakwe hivyo kwenye baraza la kata ilimpa ushindi yeye badaye nilikata rufaa mahakama ya wilaya ambapo nilishinda kwa hoja kuwa mimi ndiye mmliki halali wa ardhi husika.
Hata hivyo mshindwa alikusudia kukata rufaa mahakama ya kuu kitengo cha ardhi ingawa kisheria alichelewa kuwasilisha ombi la kukata rufaa ambazo ni siku 90.
Hivyo aliiomba mahakama imruhusu kukata rufaa nje ya muda unaotakiwa kisheria hata hivyo mahakama ilitupilia mbali ombi lake hilo kwa sababu sababu alizozitoa za kukata rufaa nje ya muda hazikuwa na mashiko mbele ya jaji hivyo jaji alistruck out ombi lake.
Tangu rulling itolewe ni miezi zaidi ya mitatu sasa na hakuna dalili ya mshindwa kutaka kukata rufaa zaidi mahakama ya rufaa.
Sasa nimefuatilia drawing order (rulling) ya jaji nimeipata lakini nimejaribu kuuliza makarani wapale mahakamani ili waniambie ni hatua gani napaswa kufuata baada ya kushinda wakaniambia niende kwa wakili wangu atakuwa anajua hatua inayofuata. Hata hivyo nimewasiliana na wakili wangu amenimbia niende kwenye mahakama ya wilaya iliyonipa ushindi nipeleke ile rulling niwaombe watekeleze hukumu ya awali.
Binafsi sijaridhika sana na alichonishauri wakili huyo kwani nilipowasiliana na wengine walinipa ushauri tofauti tofauti hali inayonipelekea kubaki njia panda.
Hivyo nimeamua kulileta hapa jukwaani kwa wataalamu wa sheria ili waweze kunisaidi ni hatua gani napaswa kufuata ili niweze kupata haki yangu.
Pia eneo hilo lilo na mgogoro mshindwa alishawauzia watu na wameshajenga almost lote naomba ushauri wenu hapo.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Hata hivyo mshindwa alikusudia kukata rufaa mahakama ya kuu kitengo cha ardhi ingawa kisheria alichelewa kuwasilisha ombi la kukata rufaa ambazo ni siku 90.
Hivyo aliiomba mahakama imruhusu kukata rufaa nje ya muda unaotakiwa kisheria hata hivyo mahakama ilitupilia mbali ombi lake hilo kwa sababu sababu alizozitoa za kukata rufaa nje ya muda hazikuwa na mashiko mbele ya jaji hivyo jaji alistruck out ombi lake.
Tangu rulling itolewe ni miezi zaidi ya mitatu sasa na hakuna dalili ya mshindwa kutaka kukata rufaa zaidi mahakama ya rufaa.
Sasa nimefuatilia drawing order (rulling) ya jaji nimeipata lakini nimejaribu kuuliza makarani wapale mahakamani ili waniambie ni hatua gani napaswa kufuata baada ya kushinda wakaniambia niende kwa wakili wangu atakuwa anajua hatua inayofuata. Hata hivyo nimewasiliana na wakili wangu amenimbia niende kwenye mahakama ya wilaya iliyonipa ushindi nipeleke ile rulling niwaombe watekeleze hukumu ya awali.
Binafsi sijaridhika sana na alichonishauri wakili huyo kwani nilipowasiliana na wengine walinipa ushauri tofauti tofauti hali inayonipelekea kubaki njia panda.
Hivyo nimeamua kulileta hapa jukwaani kwa wataalamu wa sheria ili waweze kunisaidi ni hatua gani napaswa kufuata ili niweze kupata haki yangu.
Pia eneo hilo lilo na mgogoro mshindwa alishawauzia watu na wameshajenga almost lote naomba ushauri wenu hapo.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.