Nahitaji ushauri wa tiba ya kuku

tired

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
107
Reaction score
23
Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji pure. sasa nina vifaranga 20 ambao wana umri wa mwezi mmoja. Nawapa chakula cha starter (dukani). Mpaka sasa nimewapa chanjo za OTC+, Newcastle na Gumboro.

kati ya hao kuku kuna mmoja ana uvumbe chini ya jicho. nimechukua uamuzi wa kumtenga. naomba ushauri juu ya TIBA/ KINGA ya huu ugonwa.

Picha nimeambatanisha
 

Attachments

  • 20150124_105718.jpg
    133.5 KB · Views: 250
  • 20150124_105731.jpg
    154.5 KB · Views: 220
Kwanza napenda kukupa hongera kwa kufanikiwa kuanza, maana 1st step is the hardest
Nenda famacy uwaonyeshe hio picha watakupa dawa, nadhani hio husababishwa na bacterias
Waweza wapatia mchanganyiko wa pilipili kichaaa & alovera kwa kukinga na kujega immunity yao(tiba asili) ama wapatie antibiotic na vitamin itasaidia
 

Nime enda Pharmacy wameshauri niwape OTC+ ambayo nilishawapa tiyari hapo hawali ie katika siku za mwanzo za kuzaliwa kwao
 
Nime enda Pharmacy wameshauri niwape OTC+ ambayo nilishawapa tiyari hapo hawali ie katika siku za mwanzo za kuzaliwa kwao

Wapatie vitamin na jaribu kuona sehemu wanayokaa ni safi na maji wanapata safi and jaribu kuwapatia hio dawa ya asili, pata matawi 5 ya alovera takatekate na yaweke kwenye maji safi kama liter 3 pamoja na kiganja kimija cha pilipili kichaa zilizo pondwapondwa na viache kwa muda wa masaa 6 ndo uwape itasaidia
 
no idea. Mimi huwa namtenga then napeleka picha pharmacy, wasipoelewa kwa picha natuma dereva wa pikipiki ampeleke kuku mgonjwa. Pole na hongera kwa kuanza
 

Mkuu hata mimi nina wa kienyeji sasa sometimes unakuta macho yanaziba yaeneywe na wanakufa. then sometimes wanashusha mabawa bila kuharisha na wanakufa
 
Chanjo uliwapa kwa wakati? Chanjo zingine zinahifadhiwa vibaya famacy matokeo yake zinapoteza ubora, kuna dawa ya kuzuia magonjwa ya kurithi kutoka kwa mama mzazi je umewapa? Inaitwa ESB3
 
Chanjo uliwapa kwa wakati? Chanjo zingine zinahifadhiwa vibaya famacy matokeo yake zinapoteza ubora, kuna dawa ya kuzuia magonjwa ya kurithi kutoka kwa mama mzazie je umewapa? Inaitwa ESB3

Chanjo niliwapa kwa wakati Lakini hiyo ya ESB3 Sjawai kuwapa na hii ni kwakuwa sina uelewa nayo. Chanjo nilizo wapa ni kutokana na kujisomea hapa Mtandaoni na ktk vipeperushi. Nakushukuru kwa kuniongezea Ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…