Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Kuhusu kuingiza mapenzi na kazi waweke sheria kali hakuna mahusiano ya kimapenzi kati ya washirika wa biashara.Ushauri katika choice ya hao sita weka hata kina dada wawili..., hii itawaletea uniqueness (sio wengi kina dada wanafanya hili) pia katika marketing itapendeza zaidi....
Though disadvantage hii inaweza kuwa mwanzo wa kutokuelewana na backstabbing kwa members... (whenever opposite attracts inakuja na mengineyo)
Watakao kiuka wataondolewa kundini na pesa yao watarudishiwa taratibu kwa awamu.
Lazima kuwe na katiba ya kikundi na iseme hivyo explicitly.
Lazima wasajili kampuni wawe na MOU.