Nahitaji Viroba rejected/used

Winga dalali

Senior Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
196
Reaction score
265
Habari wana jamii forum
Natumai mu wazima
Tafadhali naomba kuuliza mwenye chimbo la mifuko ya 20kg /25kg kama ya azania/azam ambayo inakua rejected lakini mizima ambayo haijatoboka inawezakua imekosewa kua printed au kiwandani baada ya kuimalizia shughuli
Mahitaji ni kuanzia 1000pcs -3000pcs
Offer yangu kwa mfuko 170-200 per piece
 
Kama una shida na mifuko mingi hivo si bora uende kiwandani moja kwa moja ?
Lakn ,kuna watu huwa wanakua nayo au wana viwanda vya printing kuna ile inayokosewa kuwa printed mimi kwangu inafaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…