Sawa mkuu. Ila challenge ndo huleta akili. Ukianguka unajua namna ya kutembea vizuriKaka, exprience is the best teacher! Naongelea details kaka....unakolala ndiko watu walikoamkia, kama unaweza kunielewa!
Kwa uzoefu wangu, nimekuja kuamini kuwa biashara nzuri hujengwa na watu wawili tu. Kwamba hv, mtu mmoja hawezi lazima wawe wawili na hata kama kuna ulazima wa kuwa watatu, basi huyo wa tatu hana say, yupo yupo tu. Anza utafiti wa hiki nachokwambia leo, one day utakuja kunielewa na kunishukuru.Sawa mkuu. Ila challenge ndo huleta akili. Ukianguka unajua namna ya kutembea vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuKwa uzoefu wangu, nimekuja kuamini kuwa biashara nzuri hujengwa na watu wawili tu. Kwamba hv, mtu mmoja hawezi lazima wawe wawili na hata kama kuna ulazima wa kuwa watatu, basi huyo wa tatu hana say, yupo yupo tu. Anza utafiti wa hiki nachokwambia leo, one day utakuja kunielewa na kunishukuru.
Kwa uzoefu wangu, nimekuja kuamini kuwa biashara nzuri hujengwa na watu wawili tu. Kwamba hv, mtu mmoja hawezi lazima wawe wawili na hata kama kuna ulazima wa kuwa watatu, basi huyo wa tatu hana say, yupo yupo tu. Anza utafiti wa hiki nachokwambia leo, one day utakuja kunielewa na kunishukuru.
Uwezo wa mimi kutoa mil 1 kwa mwezi sina. Naangalia na kipato changuNaamini watu 10 wakutoa mil 1 kwa mwez watakua na commitment na kufanikiwa zaid kuliko watu 100 wakutoa laki moja kwa mwezi
Kabisa, watu 100 ni wengi sanaNaamini watu 10 wakutoa mil 1 kwa mwez watakua na commitment na kufanikiwa zaid kuliko watu 100 wakutoa laki moja kwa mwezi
Nakubaliana na wewe mkuu. Nipo na wanangu wawili kuna ishu tunaifanya. I'm telling you, tunasonga mbele bila vikwazo wala malumbano. Kila mmoja yupo committed.Kwa uzoefu wangu, nimekuja kuamini kuwa biashara nzuri hujengwa na watu wawili tu. Kwamba hv, mtu mmoja hawezi lazima wawe wawili na hata kama kuna ulazima wa kuwa watatu, basi huyo wa tatu hana say, yupo yupo tu. Anza utafiti wa hiki nachokwambia leo, one day utakuja kunielewa na kunishukuru.