Nahitaji watu 99 wenye uwezo wa kuweka laki moja kwa mwezi

Nahitaji watu 99 wenye uwezo wa kuweka laki moja kwa mwezi

Najua wengi tutasema ni "utapeli", wengine watasema ni upigaji.
Lakini naomba niwatoe hofu, hili ni wazo lenye kuleta manufaa endapo tutaweza kwenda sawa na makubaliano.

Hao watu 99 mimi nikiwa wa 100 tutafanya nini? Au ni wa kazi gani?
Ipo hivi, wazo langu ni kuwa na vikundi vitano ndani ya hao watu 100. Yaani kikundi kimoja kinakua na watu 20.

Je, laki moja ya nini kila mwezi ndani ya mwaka mmoja?

Hiyo laki moja kila mwezi kwa watu 100, tunapata mil 10. Hiyo milion 10, itakua inafungua mradi mmoja kwa kila mwezi ambao utakua ni mradi wa kikundi "A" ambao utasimamiwa na watu wote 100. Pia mwezi wa pili, unafunguliwa mradi wa kundi "B" ambao pia unakuwa chini ya watu wote kwanza.

Kwahiyo ndani ya miezi 5, tutakua tumeweza kuwa na miradi mitano inayosimamiwa na watu 100.

Plan yangu ni kuwa na miradi 10 ndani ya mwaka mmoja. Hivyo basi, tutatoa hizo laki laki kwa muda wa miezi 10. Baada ya hapo, kila kikundi kitakua na miradi miwili.

Nini fursa na hili wazo?
1. Tutaondokana na wimbi la kutegemea mshahara tu kutoka kwa waajiri wetu

2. Tutaweza kujifunza namna ya kusimamia na kuendesha miradi mbali mbali

3. Tutazalisha fursa za ajira kwa watu wengi maana miradi itakua endelevu na yenye kujizaa. Maana hatutaishia na miradi hiyo kumi tu

4. Kadri miradi itakavyokua inaongezeka, ndivyo ugawianaji wa faidi utakavyokua unazidi na kujikuta tunaachana na utumwa wa kutegemea ajira

5. Tutaweza kupata mikopo kutoka serikalini inayotolewa kwenye vikundi

Ikumbukwe, hii sio fursa ya kupata faida haraka haraka. Ila, kwa huko mbele, itakua na manufaa.

Kama itawezekana kupata watu wote hao, tutasajiri kikundi kwa kufuata sheria za nchi

Kama upo tayari na una uwezo wa kutoa laki kila mwezi ndani ya miezi 10, basi karibu pm au jiunge kwenye group la whatsap kupitia 100 special ili niweze kukusajiri kwa usajiri wa awali kabla hatujaanza vikao vya kukutana na kusajiri kikundi tayari kwa kuanza kuchangia.

Pia, hatutachangia hela yoyote kabla hatujasajiri wala kufahamiana kiundani na kuweka sawa masuala ya fedha. Na hatutachangia bila kujua tutaanzisha mradi gani na mchanganuo wake kwa mtaji huo wa mil 10. Maana yake ni nini hapa, maana yake ni kuwa, kila mwezi kutakua na kikao cha pamoja.

Karibuni sana
Kupunguza mlolongo mrefu wakutafutana watu 99. Maoni yangu pandisha dau iwe laki 5. Mtengeneze vikundi vya watu 5 tu ni manageable kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesema miradi gani hiyo 10 na hata ungeandika mtitiriko wa kuleta returns ktk hiyo miradi ungeeleweka kwa watu.

Maana watu wengi siku hizi wanasema nikipata mtaji wa maana naanzisha mradi lakini ukimuuliza mradi utakunufaisha vipi hawezi kusema yaani hana business plan yeyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua wengi tutasema ni "utapeli", wengine watasema ni upigaji.
Lakini naomba niwatoe hofu, hili ni wazo lenye kuleta manufaa endapo tutaweza kwenda sawa na makubaliano.

Hao watu 99 mimi nikiwa wa 100 tutafanya nini? Au ni wa kazi gani?
Ipo hivi, wazo langu ni kuwa na vikundi vitano ndani ya hao watu 100. Yaani kikundi kimoja kinakua na watu 20.

Je, laki moja ya nini kila mwezi ndani ya mwaka mmoja?

Hiyo laki moja kila mwezi kwa watu 100, tunapata mil 10. Hiyo milion 10, itakua inafungua mradi mmoja kwa kila mwezi ambao utakua ni mradi wa kikundi "A" ambao utasimamiwa na watu wote 100. Pia mwezi wa pili, unafunguliwa mradi wa kundi "B" ambao pia unakuwa chini ya watu wote kwanza.

Kwahiyo ndani ya miezi 5, tutakua tumeweza kuwa na miradi mitano inayosimamiwa na watu 100.

Plan yangu ni kuwa na miradi 10 ndani ya mwaka mmoja. Hivyo basi, tutatoa hizo laki laki kwa muda wa miezi 10. Baada ya hapo, kila kikundi kitakua na miradi miwili.

Nini fursa na hili wazo?
1. Tutaondokana na wimbi la kutegemea mshahara tu kutoka kwa waajiri wetu

2. Tutaweza kujifunza namna ya kusimamia na kuendesha miradi mbali mbali

3. Tutazalisha fursa za ajira kwa watu wengi maana miradi itakua endelevu na yenye kujizaa. Maana hatutaishia na miradi hiyo kumi tu

4. Kadri miradi itakavyokua inaongezeka, ndivyo ugawianaji wa faidi utakavyokua unazidi na kujikuta tunaachana na utumwa wa kutegemea ajira

5. Tutaweza kupata mikopo kutoka serikalini inayotolewa kwenye vikundi

Ikumbukwe, hii sio fursa ya kupata faida haraka haraka. Ila, kwa huko mbele, itakua na manufaa.

Kama itawezekana kupata watu wote hao, tutasajiri kikundi kwa kufuata sheria za nchi

Kama upo tayari na una uwezo wa kutoa laki kila mwezi ndani ya miezi 10, basi karibu pm au jiunge kwenye group la whatsap kupitia 100 special ili niweze kukusajiri kwa usajiri wa awali kabla hatujaanza vikao vya kukutana na kusajiri kikundi tayari kwa kuanza kuchangia.

Pia, hatutachangia hela yoyote kabla hatujasajiri wala kufahamiana kiundani na kuweka sawa masuala ya fedha. Na hatutachangia bila kujua tutaanzisha mradi gani na mchanganuo wake kwa mtaji huo wa mil 10. Maana yake ni nini hapa, maana yake ni kuwa, kila mwezi kutakua na kikao cha pamoja.

Karibuni sana
Wazo zuri sana just weka namba ya WhatsApp watu wajiunge moja kwa moja
 
Ngoja Mawazo yazidi kuja tujione tutakuwa katika nafasi gani!’n


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kweli watu 100 ni wengi mno kuanzia, ilikuwa ni vyema wakaanza watu 10, kupitia hao zikajulikana changamoto na namna ya utatuzi wake, na taratibu kikundi kikawa kinakua mpaka kufikia hao watu 100 na kuendelea.
Ila ni wazo zuri kama lina ukweli na uaminifu ndani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazo zuri kama wangepatikana wa kutoa kitita kikubwa zaidi na kuwa hata 10 na kutafuta kiwanja cha kujenga nyumba za bei nafuu labda na mimi ningekuwa director hapo

Mkusanyo wa miaka 2 na kuanza kazi hapo ingeleta maana

Sent from my SM using Tapatalk
 
Hili wazo mkuu linaendeleaje? Sikuuonaga huu uzi.
 
Back
Top Bottom