Nahitaji watu 99 wenye uwezo wa kuweka laki moja kwa mwezi

Wakati namaliza chuo mwaka ule wa 2010s nilikutana na tapeli mmoja aliyetaka kupiga pesa za watu kwa style hii.
 
Watu wengi kuna faida na hasara. Faida ni kwamba mnapata pesa nyingi kwa kipindi kifupi bila kuumiza sana wachangiaji.

Tatizo ni kuwasimamia na kuhakikisha hao watu 100 wanatoa na kuwajibika kwenye kundi. Wakiwa wachache inakua rahisi kuhimizana japo maumivu yake itachukua muda au mtachanga pesa nyingi kupata kiwango ambacho mmngechanga mkiwa wengi.
 
WAZO ZURI SANA LA KUPATA MITAJI KWA KUKUSANYA KIDOGO TOKA KWA WENGI ILA KWA HAPA JMF HUU NRADI HAUKUFAI UTEKELEZAJI WAKE NYUMA YA KEY BOARD MGUMU SANA
ASANTE SANA MM NIMESHAPATA HILI WAZO NAENDA KUITEKELEZA FASTA NITAWALRTEA MREJESHO TENA SITAKI LAKI NASHUKA HAFI 20000 TU
 
mmh ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unda group LA WhatsApp kisha tuma link kurahisisha mawasiliano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzuri mm na wanakijiji wangu tuko bega kwa bega tunaonana kila siku kwangu mm rahisi
 
Unda whatsApp group weka link watu wajiunge then mnapata mawazo mapya mnaunda kitu kizuri kwa hoja then mnaanza kuchangishana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nawataka wakukisanya 130K chapu wawe kumi tufungue tigopesa week hii pesa kwa mfuko wa shati [emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri sana! Sasa ni vema kuonana na kuhakikisha identification ya kila mmoja! Au liundwe group la WhatsApp au Telegram ili kupata idadi ya watu wa mkoa fulani then waonane (na kufanya sub meeting) then wanachaguliwa viongozi wa mkoa ambao watawakilisha wengine kwenye mkutano mkuu wa maamuzi!

I am on board!
 
Wazo ni zuri sanaaa ukilisoma ila kimkakati utekelezaji wake ni mgumu sanaa.kwani halijakamilika.

1.Mfano,muasisi wa wazo ameshindwa kubainisha aina za miradi kwa vikundi vyote vitano had kumi (walau kwa kutoa mifano ya miradi mhimu ya kuanzia)

2.Kwa mujibu wa maelezo ya mleta hoja, Usimamizi na uendeshaji wa miradi utategemea wakati ujao utaamua nini.(mleta hoja hajabainisha ni njia zipi zitatumika kudhibiti uhai na ongezeko la Mapato)

3.kwa kuanzia idadi ya miradi ni mingi mnooo, kiasi cha kutishia uhai wa vikundi mana mgawanyiko ni mkubwa na ndo kwanza miradi inaanzishwa,lakini pia usimamizi wake utatengeneza changamoto nyingi(mgawanyo unatakiwa bada ya kikundi mama kukomaa na kuzaa Matunda)

Ushauri Wang

Kwakuwa wazo ni zuri

Hakuna sababu ya kufikiria miradi mingi wakati hata mradi mmoja unaweza kusaidia wanakikundi wote kufikia Malengo.

Mfano.kwa mtaji wa million 200 wanakikundi wanaweza fungua kampuni na kusimamia biashara ya kuuza smart electronics, smenti au maji kwajumla (huu ni mfano Tu) Jijini Dodoma ambako kwasasa biashara hizo bado zinafrusa mbichi kabisa.

Kwa gharama nafuu ya usimamizi wa rasilimali Watu,vitu,na mapato. Wanakikundi wataendesha mradi wao bila stress,watatengeneza mfumo mmoja wa usimamizi wa biashara na mapato,gharama za uendeshaji zitapungua Sana,watabaki kusubiri gawio na kuhudhuria vikao vya wanahisa kila bada ya miezi kadhaa kwa kadri watakavyoona inafaa.

Mradi ukikomaaa utazalisha frusa za kumiliki soko,kupata mikopo,ufadhili,uwakala na ubia na makampuni makubwa ya ndani na nje ya nchi kwa biashara nyingine zinazokimbiza sokoni

Kuhusu kutengeneza ajira kwa kuanzia tayari watu 100 wamejiajiri na kujiri wengine kadhaa(mathalani wafanyakazi watano dukani/depot)


Wazo ni zuri sana likiboreshwa am in!!!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…