Nahitaji watu watano tuunganishe ujuzi

Wazo zuri,tafuta soko kwanza tuingie nao mkataba wa ununuzi baada ya miezi sita kuanzia sasa,ili tuwezekuwekeza kwa juhudi zote.kuliko kufuga halafu tuanze kutafuta soko.
Soko lipo mkuu, hao kuku wanauzwa elfu tano, tunaweza tukauza kwa 4500 kwa kujitangaza kwanza kwa awamu ya kwanza.
 
Soko lipo mkuu, hao kuku wanauzwa elfu tano, tunaweza tukauza kwa 4500 kwa kujitangaza kwanza kwa awamu ya kwanza.
Ukiuza kwa 4500 ina maana kwa miezi minne huyo kuku amekugarimu sh. 1125,je kuna faida hapo?
 
Una mawazo mazuri Sana ila kwa nilivyosoma uzi wako una fanana Sana na Araw,hodari wa kuanzisha miradi mwishowe anai!anaicha kweli.
 
Haya madaraja ya mitaji ulioyaainisha sijaelewa vzr! Je ni 200,000\ 500,000\ na 1,500,000\?

Kama nimeelewa sawa,
Mbona mi naona hao watu watano unaowahitaji ni wengi sana kuliko mtaji unaohitajika?

Kama akitokea mtu moja na akatoa robo tatu na wewe ukatoa robo iliobakia, pamoja na userious uliousema,
Utakuwa tayari kufanya nae?
 
 
Mi Niko tayari, nami pia ni mwalimu wa baadhi ya masomo ya ujasiriamali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…