Nahitaji watu wawili tushirikiane kuvuna pesa hizi

Nahitaji watu wawili tushirikiane kuvuna pesa hizi

D Metakelfin

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
3,399
Reaction score
3,666
Wakuu nahitaji watu wawili tushirikiane kupiga kazi
Kazi nimepiga hesabu ni kuwa tukianza na mzigo wa milioni sita(6,000,000) tutaingiza almost milioni kumi kila wiki mbili (haya ni makadirio ya kiwango cha juu cha Muda,

Mzigo unapochukuliwa na unapopelekwa ni kama 170KM
Mteja nishampata wa uhakika.

CHANGAMOTO
mtaji
Usafiri(canter itafaa zaidi île iliyozibwa)

nahitaji watu hao sihitaji kukabidhiwa pesa ila tutafanya kazi pamoja kuanzia hatua ya kwanza mpaka mwisho ili kuondoa mazingira ya utapeli pia kutakuwa na mikataba ya kusaini baada ya mazungumzo ya pamoja,kwa waliopo tayari karibuni PM pia nakaribisha maswali.
Bidhaa yenyewe ni ya chakula
 
Sina hela ila nataka niwe group member
 
Elezea ni biashara gan na ikoje watu tukiridhika tuweke pesa mil 6 si pesa nyingi kama inapopelekwa itakuwa inatotate ila ni nyingi ukiingizwa chaka
lmkuu hiyo pesa hutonikabidhi mimi ila tutafanya biashara pamoja hatua kwa hatua tutakachogawana mi na wewe ni faida tu kadri ya mikataba tutakavyoiweka
 
Pesa ipo tatizo hujadadavua vzuri alafu umanifu ni kikwazo
 
Back
Top Bottom