mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ingekuwa rahisi hivyo watu wote tungekuwa mabilionea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ingekuwa rahisi hivyo watu wote tungekuwa mabilionea
Ni kweli mkuu sikupingi,50m unajenga nyumba na inakamilika sema kuna mbwembe fulani unaziweka pembeni.50m unatoa nyumba ya vyumba vitatu vya kulala tena hapa hapa DSM.
Mie nina nyumba za kupangisha nyingi mjini na ninazijenga chini ya hiyo hela.
Kuna sehemu watu mnakosea ktk ujenzi. Nyumba ya kupanga haina mbwembwe nyingi kama hizi tunazoishi wenyewe. Mfano geti la nyumba yangu ya kuishi pamoja na kipaa cha kulifunika ilinicost mil 6 lakini nyumba za kupanga geti linagharimu laki 5 tu.
Milioni 50 unaweza jenga nyumba 2 za vyumba viwili vyenye sebule na jiko na ukazipangisha
Kiwanja sijaongelea kwa kuwa bei inategemea na sehemu
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ukiona nyumba inauzwa sehemu kama Goba milioni 70 pamoja na kiwanja ujue hiyo nyumba imejengwa labda kwa milioni 40 tuNi kweli mkuu sikupingi,50m unajenga nyumba na inakamilika sema kuna mbwembe fulani unaziweka pembeni.
Achilia mbali kujenga zipo nyumba nyingi tu mjini zilizokamilika tena sehemu zilizochangamka zinauzwa kwa hiyo milioni 50 hadi 60
Inategemeana nyumba mkuu../unajua hata room na sebule vyenye ft 10x 8.nayo nyumba.ila huwezi linganisha room self zenye ft 11x12.na sebule..ujenzi wake unatofautiana kuanzia idadi ya material mpk thamani kukamilika ila zote n nyumba.Ukiona nyumba inauzwa sehemu kama Goba milioni 70 pamoja na kiwanja ujue hiyo nyumba imejengwa labda kwa milioni 40 tu
Anaongelea nyumba standard kama hiiInategemeana nyumba mkuu../unajua hata room na sebule vyenye ft 10x 8.nayo nyumba.ila huwezi linganisha room self zenye ft 11x12.na sebule..ujenzi wake unatofautiana kuanzia idadi ya material mpk thamani kukamilika ila zote n nyumba.
50M makadilio at least ya faida kwa mwezi unataka kuingiza tsh ngapi?
Jenga nyumba standard weka wapangaji. Rahisi kusimamia pia nyumba inapanda thamani kadri mji unavyokua. Kodi uwa inaongezeka mara kwa mara na si kushuka
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mbona hii namba haupo wassapp