mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mbona pumba zipo nyingi humu JF....
ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona pumba zipo nyingi humu JF....
Wapedwa katika bwana.
Ningependa kuuliza yoyote anaekua sehemu wanayouza pumba kwa bei nzuri ya jumla hapa dar anaweza nijuza ila iwe karibu karibu na kimara suka.
Mimi nahitaji pumba nyingi za mahindi napata wapi? kama una no plsNenda bakharesa pale Tazara unaweza kununua kwa ujazo wowote unaotaka
Nisaidie kupata mkuu nahitajiAhsante sema nishapata alienielekeza huku nilipo na nimepata za kutosha