Nahitaki pumba Dar es Salaam kwa bei poa

Wapedwa katika bwana.

Ningependa kuuliza yoyote anaekua sehemu wanayouza pumba kwa bei nzuri ya jumla hapa dar anaweza nijuza ila iwe karibu karibu na kimara suka.

Nenda bakharesa pale Tazara unaweza kununua kwa ujazo wowote unaotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…