TANZIA Nahodha Msaidizi wa Klabu ya Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto afiwa na Mkewe & Mtoto

TANZIA Nahodha Msaidizi wa Klabu ya Yanga, Bakari Nondo Mwamnyeto afiwa na Mkewe & Mtoto

Mchezaji huyo amewapoteza wapendwa wake hao usiku wa kuamkia leo

Ni huzuni kubwa
Ni majonzi

Taarifa zaidi kutolewa na Uongozi wa Yanga

Chanzo: Msemaji wa Klabu - Nugaz

Inauma na inasikitisha mno.Mwanamke akibeba mimba yako kwa hiyari kabisa huo ndiyo upendo wa mwisho kwa mwanaume ingawa wanawake wengi pia hawajui.
Tunawatakia Safari njema njia yetu sote.


E Mungu waepushie wanawake na vifo vitokanavyo na uzazi,amen.
 
Mchezaji huyo amewapoteza wapendwa wake hao usiku wa kuamkia leo

Ni huzuni kubwa
Ni majonzi

Taarifa zaidi kutolewa na Uongozi wa Yanga

Chanzo: Msemaji wa Klabu - Nugaz

Muhimbili kuna tatizo hususani kwa wajawazito hawapewi uangalizi mzuri, wiki iliyopita kuna mtu kachoshwa na huduma za muhimbili wodi ya wajawazito akampeleka mkewe kujifungulia hospitali binafsi.
 
Poleni sana wana Yanga kwa msiba mzito. Hivi mtu mwenye cheo cha nahodha kwenye klabu anakuwa na majukumu gani hasa? Ni msaidizi wa Katibu wa timu?
 
Back
Top Bottom