Nahodha wa Namungo ahoji maamuzi ya Refa, ataka hatua dhidi ya Waamuzi

Nahodha wa Namungo ahoji maamuzi ya Refa, ataka hatua dhidi ya Waamuzi

Tuna haki ya kudandia vitu tusivyo vijua, lakini ukweli ni kwamba siyo kila offence inayotokea ndani ya box lazima ipigwe penalty.

Mfano, kipa aliyechelewesha mchezo akipewa kadi ya njano au nyekundu penalty inatolewa pia?

Hizi zinaitwa non foul offenses.... ni vitendo kama kuchelewesha, vitendo visivyo vya kimchezo (unsporting behaviours) kupiga ngumi mchezaji au kumtia dole au kumtemea mate, etc.

Refa anashambuliwa tu na watu wanaodhani wanajua kumbe hawajui.
 
Atulie kama ananyamba...asijifanye yy ndo anajua kuliko refa....
 
Makolo mechi zenu nyingi lazima itoke penati au kadi nyekundu.

Kuongezewa muda mwingi wa nyongeza na kupitiliza huo muda mpaka mpate goli.

Refa kumaliza mpira kolo akiwa anashambuliwa hili kuwanusuru na kufungwa.

Refa kupandwa na hasira na kuonesha kadi mbili(njano na nyekundu)kwa wakati mmoja kisa kolo kashindwa kupata goli.

Mambo haya makolo mnayapenda kwa kibwagizo cha ubaya ubwela lakini hayajengi wala kuijenga timu yenu.
 
Tatizo camera za Azam zimeshindwa kuonyesha Nini kilitokea na hii inasababishwa na wao kupeleka camera chache mechi za mkoani Kila mmoja atabaki kukisua Nini kilitokea.
Sasa Sheikh camera za Azam zina kosa gani na wakati ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Yaani kabisa mnataka kuhamishia madhaifu ya mtu mmoja kwa watu wengine! 😁

Ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Na tangu mwanzo wa mchezo mwamuzi alishaonesha madhaifu yake kwa kupotezea rafu za wazi walizochezewa wachezaji wa Namungo, huku akiwa mwepesi kupiga filimbi kwenye rafu hata zisizo na uhalisia ikitokea tu mchezaji wa simba ameguswa nje au ndani ya eneo la 18 la Namungo!

Kuubali kuunganakwa pamoja kama mdau wa michezo, kuwakemea hawa waamuzi wa hovyo wanaochafua taswira ya soka letu.
 
Sasa Sheikh camera za Azam zina kosa gani na wakati ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Yaani kabisa mnataka kuhamishia madhaifu ya mtu mmoja kwa watu wengine! 😁

Ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Na tangu mwanzo wa mchezo mwamuzi alishaonesha madhaifu yake kwa kupotezea rafu za wazi walizochezewa wachezaji wa Namungo, huku akiwa mwepesi kupiga filimbi kwenye rafu hata zisizo na uhalisia ikitokea tu mchezaji wa simba ameguswa nje au ndani ya eneo la 18 la Namungo!

Kuubali kuunganakwa pamoja kama mdau wa michezo, kuwakemea hawa waamuzi wa hovyo wanaochafua taswira ya soka letu.
Tungeanza kuungana kupinga fixed mechi ya yanga na Singida kwanza.
Nimeshindwa kutoa. Maoni sababu camera hazijaonyesha Nini kimetokea.
 
Tungeanza kuungana kupinga fixed mechi ya yanga na Singida kwanza.
Nimeshindwa kutoa. Maoni sababu camera hazijaonyesha Nini kimetokea.
Kuiita mechi ya Singida na Yanga ni fixed, haileti mantiki! Kwa sababu tukio kama hilo pia liliwahi kutokea miaka michache iliyopita pale aliyekuwa Kocha wa Yanga alipowapumzisha baadhi ya wachezaji kwenye mechi dhidi ya Ihefu! Na Yanga ilipoteza kwenye ule mchezo!

Mbona hamkulalamika kama ilikuwa ni fixed match? Isipokuwa ni sisi mashabiki pekee wa Yanga ndiyo baadhi tulilalalamika humu jukwaani kwa kitendo cha kocha kupumzisha baadhi ya wachezaji wake muhimu kwenye mechi ngumu kama ile!

Sasa kwa nini kwenye mechi ya SBS dhidi ya Yanga mkimbilie moja kwa moja kwenye hitimisho huku mkiwa hamna ushahidi wa moja kwa moja?
 
Kuiita mechi ya Singida na Yanga ni fixed, haileti mantiki! Kwa sababu tukio kama hilo pia liliwahi kutokea miaka michache iliyopita pale aliyekuwa Kocha wa Yanga alipowapumzisha baadhi ya wachezaji kwenye mechi dhidi ya Ihefu! Na Yanga ilipoteza kwenye ule mchezo!

Mbona hamkulalamika kama ilikuwa ni fixed match? Isipokuwa ni sisi mashabiki pekee wa Yanga ndiyo baadhi tulilalalamika humu jukwaani kwa kitendo cha kocha kupumzisha baadhi ya wachezaji wake muhimu kwenye mechi ngumu kama ile!

Sasa kwa nini kwenye mechi ya SBS dhidi ya Yanga mkimbilie moja kwa moja kwenye hitimisho huku mkiwa hamna ushahidi wa moja kwa moja?
Makolo ni makolo tu.

Timu sio yao wanalazimisha kocha apange kikosi wanachokitaka wao wakiwa na imani kwamba hiko kikosi kitaifunga Yanga!

Yaani Singida kafungwa na KMC kasuruhu na Kagera ila makolo wanaamini Yanga asingemfunga Singida!

Yani kwa makolo Yanga inayoongoza ligi na magoli mengi ya kufunga ni timu dhaifu kuliko KMC na Kagera sugar.

Tuwazoee tu ndugu zetu.
 
Sasa Sheikh camera za Azam zina kosa gani na wakati ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Yaani kabisa mnataka kuhamishia madhaifu ya mtu mmoja kwa watu wengine! 😁

Ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Na tangu mwanzo wa mchezo mwamuzi alishaonesha madhaifu yake kwa kupotezea rafu za wazi walizochezewa wachezaji wa Namungo, huku akiwa mwepesi kupiga filimbi kwenye rafu hata zisizo na uhalisia ikitokea tu mchezaji wa simba ameguswa nje au ndani ya eneo la 18 la Namungo!

Kuubali kuunganakwa pamoja kama mdau wa michezo, kuwakemea hawa waamuzi wa hovyo wanaochafua taswira ya soka letu.
Lengo Lako/Lenu LinajulikanaMnataka Kuamisha Magoli Tumewashtukia Hizi Kelele Mngeanza Kupiga Toka Ule Upuuzi Wa Singida Na Yanga Mngekuwa Na Hoja Ila Mnachojaribu Ni Kutaka Kujaribu Kuonyesha Refa Kafanya Makosa Ili Kuifisha Hoja Ya Yanga V Singida Ni Match Fixing.
 
Kuiita mechi ya Singida na Yanga ni fixed, haileti mantiki! Kwa sababu tukio kama hilo pia liliwahi kutokea miaka michache iliyopita pale aliyekuwa Kocha wa Yanga alipowapumzisha baadhi ya wachezaji kwenye mechi dhidi ya Ihefu! Na Yanga ilipoteza kwenye ule mchezo!

Mbona hamkulalamika kama ilikuwa ni fixed match? Isipokuwa ni sisi mashabiki pekee wa Yanga ndiyo baadhi tulilalalamika humu jukwaani kwa kitendo cha kocha kupumzisha baadhi ya wachezaji wake muhimu kwenye mechi ngumu kama ile!

Sasa kwa nini kwenye mechi ya SBS dhidi ya Yanga mkimbilie moja kwa moja kwenye hitimisho huku mkiwa hamna ushahidi wa moja kwa moja?
Timu kubwa kupumzisha wachezaji wake wanapocheza na timu ndogo ni kawaida, pia timu inaweza labda kuwa na mechi ya kimaraifa ikapumzisha wachezaji kupata majeraha au uchovu lakini mechi ya yanga na Singida sababu zote hazipo.
Mechi ya yanga na Dodoma Jiji mchezo huohuo ulifanyika na ukichukulia timu zote Zina udhamini wa GSM.
 
Tatizo camera za Azam zimeshindwa kuonyesha Nini kilitokea na hii inasababishwa na wao kupeleka camera chache mechi za mkoani Kila mmoja atabaki kukisua Nini kilitokea.
Hata kuwe na maelfu ya camera kama hàkuna rafu zitaonesha nini? Pale hakukuwa na kosa labda ziwekwe camera kwenye ubongo wa refa tuone kulikuwa na rushwa ya sh ngapi.
 
Sasa Sheikh camera za Azam zina kosa gani na wakati ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Yaani kabisa mnataka kuhamishia madhaifu ya mtu mmoja kwa watu wengine! [emoji16]

Ile kadi nyekundu ni ya mchongo! Na tangu mwanzo wa mchezo mwamuzi alishaonesha madhaifu yake kwa kupotezea rafu za wazi walizochezewa wachezaji wa Namungo, huku akiwa mwepesi kupiga filimbi kwenye rafu hata zisizo na uhalisia ikitokea tu mchezaji wa simba ameguswa nje au ndani ya eneo la 18 la Namungo!

Kuubali kuunganakwa pamoja kama mdau wa michezo, kuwakemea hawa waamuzi wa hovyo wanaochafua taswira ya soka letu.
Utaandika sanaa, poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom