Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ajiunga timu ya Taifa baada ya kuruhusiwa hospitali

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ajiunga timu ya Taifa baada ya kuruhusiwa hospitali

Majs

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
232
Reaction score
516
Nahodha wa Simba Sports Club Jonas Mkude ambae juzialipata ajali ya gari, ameruhusiwa kutoka hospitali na tayari amejiunga na kambi ya timu ya Taifa.

Pichani akiwa na wachezaji wenzake Ndemla na Ajib.
Screenshot_20170530-072834_01.png
 
Back
Top Bottom