Asbm
Member
- Jun 26, 2019
- 38
- 33
Ndugu zanguni,heri ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Kama maada hapo juu inavojieleza. Nahtaji serious partners kwa ajili ya ufugaji wa kuku wa mayai kibiashara.Mahali pa ufugaji ni mkoani Iringa ambapo ndipo mabanda yalipo yenye uwezo wa kufuga kuku zaidi ya elfu 10 wa mayai.
Partner anayetaka kujiunga ni awe na uwezo wa kufuga kuku 1,000.Gharama kwa kuku hao ni m 15 hadi wanaanza kutaga(baada ya week 20 au miezi 5).Hizo ni ghrama kwa ajili ya vifaranga,chakula,chanjo na madawa.
Mategemeo ni kuwa
Asilimia 80% ya kuku watataga,hivo kila kuku 1,000 wa mayai,kuku 800 watataga kwa siku hivo kupata tray 26 kwa siku. Ukizidisha na Tsh.5,000 kwa tray itapatikana Tsh.150,000 kwa siku.Hapo wakianza kutaga kutakuwa na gharama za chakula ili waendelee kutaga zaidi
Kwa aliye serious anaweza ni pm
Ahsante
Kama maada hapo juu inavojieleza. Nahtaji serious partners kwa ajili ya ufugaji wa kuku wa mayai kibiashara.Mahali pa ufugaji ni mkoani Iringa ambapo ndipo mabanda yalipo yenye uwezo wa kufuga kuku zaidi ya elfu 10 wa mayai.
Partner anayetaka kujiunga ni awe na uwezo wa kufuga kuku 1,000.Gharama kwa kuku hao ni m 15 hadi wanaanza kutaga(baada ya week 20 au miezi 5).Hizo ni ghrama kwa ajili ya vifaranga,chakula,chanjo na madawa.
Mategemeo ni kuwa
Asilimia 80% ya kuku watataga,hivo kila kuku 1,000 wa mayai,kuku 800 watataga kwa siku hivo kupata tray 26 kwa siku. Ukizidisha na Tsh.5,000 kwa tray itapatikana Tsh.150,000 kwa siku.Hapo wakianza kutaga kutakuwa na gharama za chakula ili waendelee kutaga zaidi
Kwa aliye serious anaweza ni pm
Ahsante