Naianza Safari Ya Kuonana Na Binti Wa Kimakonde Mtwara, WanaJF wa Mtwara Mnipokee!!

Akikwambia shuka chini jiongeze.. usimpe ubabe na minguvu ya kisukuma uanze kushusha godoro chini..
 
Huko huendi kutuwakilisha wana jf unakwenda kuwawakilisha wasukuma wenzio kwa hyo ukipuyanga utakua umewadisapoint wasukuma wote.
 
Mkuu nakupita hapa Moro, maombi yako muhimu ili niweze kufika salama

Kila la heri mkuu. Lakini angalia usije ukasahau kwenu maana wamakonde wanatabia hiyo hasa akijua kwenu ni mbali na mtwara.
 
Papuchi tamuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…