Naianza Safari Ya Kuonana Na Binti Wa Kimakonde Mtwara, WanaJF wa Mtwara Mnipokee!!

Naianza Safari Ya Kuonana Na Binti Wa Kimakonde Mtwara, WanaJF wa Mtwara Mnipokee!!

kweli papuchi ina nguvu kuliko hata breakdown....ok kila la heri mkuu mi nipo pande za majengo hapa bt ukitaka papuchi zaidi tembelea pale mitaa ya makonde beach ujizolee zaidi watoto wa chuo...
 
kweli papuchi ina nguvu kuliko hata breakdown....ok kila la heri mkuu mi nipo pande za majengo hapa bt ukitaka papuchi zaidi tembelea pale mitaa ya makonde beach ujizolee zaidi watoto wa chuo...
Mkuu tembela na huku kunaitwa nanguruwe
 
Bila shaka hapo mnarani unaongelea ile club ya fire canteen. Jioni kuna matukio pale wacha kabisa. Ukishuka chini kidogo baada ya viwanja vya mashujaa kuna Jojos club hapo ndiyo hatari tupu.

Nimepakumbuka sana Ntwara, nitarudi siku moja
Mkuu tuambie hapo wapo wale sawa na Kimboka na Kinondon Makaburini?
Lakini kwa sasa Mtwara ina muingiliano sana. Usishangae ukapata Mchaga na lafudhi ya Kimakonde ukadhan ni mmkaonde pure. Take care kwa hilo, pia usisahau kuna madem kibao wanavyou wa TIA, STEMMUCO, COTC, MAT-NALINDELE, TTC-UALIMU, TTTC-UALIMU UFUNDI, chuo cha Utumishi nk. Huko kote kuna mikia balaa, so take care.
 
Habari za usiku JF;

Baada ya chats za muda mrefu, hatimaye naenda kuonana na huyu binti ambaye kwa kweli kwa namna ninavyochati naye naanza kuamini YALIYOMO YAMO.

Nitawaletea updates za safari nzima kutoka Mwanza Mpaka Mtwara. Kesho Naanza safari.

Wakongwe wa kusafiria papuchi nipeni uzoefu wa game za mbali kama hizi, na pia kwa wazoefu wa hawa mabinti wa kimakonde nipeni hits mbili tatu ili nisije kuonekana mshamba, mana nasikia kwa viuno ni balaah!!

Karibuni!!!!


UPDATES:

Nipo Ndani ya Mtwara, ila hali ya hewa sio nzuri kwa wafanyao maisha ya kawaida ila kwa kugegedana ni favourable kabisa.

Ngoja nipumzike kwanza
Umefanikiwa? Ina tofauti na nyingine ulizozoea??
 
Mkuu tuambie hapo wapo wale sawa na Kimboka na Kinondon Makaburini?
Lakini kwa sasa Mtwara ina muingiliano sana. Usishangae ukapata Mchaga na lafudhi ya Kimakonde ukadhan ni mmkaonde pure. Take care kwa hilo, pia usisahau kuna madem kibao wanavyou wa TIA, STEMMUCO, COTC, MAT-NALINDELE, TTC-UALIMU, TTTC-UALIMU UFUNDI, chuo cha Utumishi nk. Huko kote kuna mikia balaa, so take care.
Aende kwa braza Y hahahah
 
Yap.!
Wewe upo mitaa gani??
Hapana mimi nipo Dar es Salaam ila ni mdau mkubwa huko. Naifaham Mtwara nje ndani.Kwani siku hizi huko kuna mji? Zamani ilikua ukiacha Mtwara Girls ni pori tu, kule Airport kulikua na nyumba chache tena chakavu za Staff wa Uwanja, sasa sijui kwa siku hizi, ile njia iliyokatiza kwenda huko kutafuta mafuta ikiitwa "SITAKI KONA" bado ipo?
 
Ni watu wapi wanaolia kua Magu kabana....ni hawa hawa wanaospend their dough kusafiria papuchi aunauliza tu....

Sema i thank God nimeumbwa na papuchi...its power is way beyond u could possibly imagine..

Wasalimie Ntwara nkuu[emoji28]
hahhaha eti Ntwara,ndio uko wanasemaga Disco Ntwara bhana nje watu ntiti ndani ntiti?
 
kweli papuchi ina nguvu kuliko hata breakdown....ok kila la heri mkuu mi nipo pande za majengo hapa bt ukitaka papuchi zaidi tembelea pale mitaa ya makonde beach ujizolee zaidi watoto wa chuo...
Bila kusahau mikindani, kisutu, majengo, mitaa ya ligula ukishindwa nenda ferry kwny kuvuko cha kwenda msangani unajichagulia wakina mama wauza samaki unajilia tarattttbu ukimpa tshs2000/=unaulizwa yote yang? Dah kama ni mzinzi mtwara ndo kwenyewe
 
kwa taarifa nilizozipata hv punde, binti wa watu ameshakuandalia panya, maana ndio chakula cha asili kule
 
Back
Top Bottom