Naibu Jaji Mkuu, Philomena Mwilu akamatwa kwa tuhuma za rushwa

ukiwa mwanasiasa kuna kipindi lazima ukubali kuchanganyikiwa/kuwa kichaa au zuzu ili mambo yaende.
huwezi kuwa na misimamo binafsi kwenye misimamo ya kichama ukabaki kuwa mwanachama.
lazima huwe tayari kwa collective thinking na uwe tayari kuisaliti dhamiri yako kuunga juhudi za wengi bila kujali ni halali au haramu.
 
CHADEMA??? Yaan kwa akili yako unasikia CHADEMA wanasema nini? Chadema hawajuagi wanasimamia nini ilo ulitambue,
1. LOWASSA FIDSADI- LOWASSA SAFI
2. Kikwete dhaifu - Magufuli dikteta
3. Wezi wa mali za Umma hawakamatwi- Rais anaonea kukamata watu eti wezi wa mali za Umma
4. Rais anazurura nje sana- Magufuli mbona hutoki nje
5.Tanzania haina ndege ni aibu- kwanini Magufuli ananunua ndege so kipaumbele cha sasa,
6.Dr slaa ni mkombozi wetu- Slaa ni msaliti
7.Nape ni vuvuzela- Nape ni shujaa
8.Magufuli ni jembe(Mbowe n.a. halima)- Magufuli ameshindwa,

Yaan ni mengi sana
 
Mimi hadi naona aibu kutype kabisa.................. tena amshitaki haswa................ na Kenyatta anashangaa haswa huu uchaguzi wa kila siku Tanzania....... aliingizia Taifa hasara ya kurudia uchaguzi akamatwe na ashitakiwe kwa uhujumu uchumi........ kama jiwe atakavyokamatwa no matter what........... hata ishindikana wajukuu watalichapa kaburi lake viboko
 
Hii ndio aina ya Demokrasia wanayoitaka Chadema.
 
Huyo jaji ni fisadi mno, safi sana kenyatta
 
I see ! Acha tu ! Du !
 
Hoja ni rushwa. Na uwanja wa kesi ni mahakamani. Mambo za Uhuru, Chadema zinatoka wapi. Watanzania bhana na huu Uccm na Uchadema hatutasogea kimaendleo. Kila kitu sisi ni politiki.
 
kwahiyo ndugu makonda, ulitaka kwa kuwa tu kenyata alipongezwa na chadema basi asimkamate mtu anayetuhumiwa kwa rushwa. Unadhani kenyata yuko kama kichaa anayekubeba kwa kila kosa unalotenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…