TANZIA Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi afariki dunia

TANZIA Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi afariki dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma leo Januari 20, 2021, Mkuu wa Jeshi hilo Meja Jenerali Suleiman Mzee amethibitisha.

20210120_120405.jpg
 
Lala salama Julius Sang'udi
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Back
Top Bottom