TANZIA Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi afariki dunia

TANZIA Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi afariki dunia

Hivi China wanakufa wangapi kila dakika?jaman mkishakuwa wengi vifo ni kawaida tanzania tukifika mil 100 tegemea misiba kila kijiji na ni kila siku
 
Dipotivo kila siku tunasema humu kuanzia Dec 2020 idadi ya vifo imeongezekana sana!!

Dipotivo ipo chukua tahadhari...Tumia tangawizi,pilipili na mchai chai.
 
Na kabla ya korona tulikuwa hatuna mashine za upumuaji hata maji maana tulikuwa tukifa bila kukosa hewa unakatika kama umeme
 
Hatuko serious tuna mzaha mwingi na vifo vya watu.
Sidhani ndugu zao wanajisikiaje wakisoma haya kuwa ndugu zao wanaambiwa wamekufa na Corona wakati wao wanajua ndugu yao kafa na ugonjwa gani.
TUBADILIKE.
hao marehemu Wana ndugu na Wana moyo na wanajisikia vibaya.

Ni kweli mkuu tunakwama sana hapo, pia inaleta hofu
 
Hatuko serious tuna mzaha mwingi na vifo vya watu.
Sidhani ndugu zao wanajisikiaje wakisoma haya kuwa ndugu zao wanaambiwa wamekufa na Corona wakati wao wanajua ndugu yao kafa na ugonjwa gani.
TUBADILIKE.
hao marehemu Wana ndugu na Wana moyo na wanajisikia vibaya.
Ofcourse etiquette haitutaki tuwe wasemaji wa familia..., ila inabidi pia tuelewe Corona sio Ugonjwa wa aibu, kwahio ni busara kuambiana (ukweli) watu wachukue tahadhari, ila ni vigumu kujua kwa uhakika sababu kuna mambo wanasiasa ndio wamekuwa ma-dokta
 
aisee, ndio maana diamond kajisemea usiniguse usinitach salamu iwe kwa miguu.....
 
Lakini pia usisahau kuwa Corona inaambukiza.
Ni ugonjwa hatari sanaa.
Inakuchukua siku 2 Hadi 14 kuonesha dalili.
Kama ingekuwa Corona ipo Tanzania Ni wazi wagonjwa wangeongezeka Hilo nalo haulifikirii?.
Tunapotoa taarifa tuwe na uhakika nazo.
Ofcourse etiquette haitutaki tuwe wasemaji wa familia..., ila inabidi pia tuelewe Corona sio Ugonjwa wa aibu, kwahio ni busara kuambiana (ukweli) watu wachukue tahadhari, ila ni vigumu kujua kwa uhakika sababu kuna mambo wanasiasa ndio wamekuwa ma-dokta
 
Lakini pia usisahau kuwa Corona inaambukiza.
Ni ugonjwa hatari sanaa.
Inakuchukua siku 2 Hadi 14 kuonesha dalili.
Kama ingekuwa Corona ipo Tanzania Ni wazi wagonjwa wangeongezeka Hilo nalo haulifikirii?.
Tunapotoa taarifa tuwe na uhakika nazo.
50% ya wanaopata Corona ni asympotomatic, unaweza ukapata Corona na ukapona bila kujua (na hii nadhani kwa bongo / African Countries ndio ipo sana).

Corona inaambukiza sana ila mortality rate yake sio kubwa sana..., ikikukuta haupo ngangali lazima uongezewe neno RIP kama prefix...., Pia maadamu kuna new variants zinatokea hatujui hiki kilichopo / kitakachokuja kitakuwa na hatari kiasi gani..., kwahio caution is always advised
 
Back
Top Bottom