chuki
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,715
- 534
ndio kazi yao, utawasikia tu na nilazima watampeleka yule jini wao aliyeasi dini.hivi tena chadema watatumia udini igunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio kazi yao, utawasikia tu na nilazima watampeleka yule jini wao aliyeasi dini.hivi tena chadema watatumia udini igunga?
Mbunge mmoja wa CCM B wakati akichangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani alisema na kuitangazia dunia kwamba wamejitoa rasmi kwenye upinzani kwa sababu wabunge wa Chadema wamekuwa wanamkosea adabu spikaHiki Chama chake si kilishakufaga huku Bara!
Heche alikuwa huko...kaumbuka.........nyie mmekalia fitina tuu!! Endeleeni mwisho wenu unakuja!
<br />Hapa Bara CCM B ina viongozi wawili tu.Lipumba na Mtatiro wengine wote wanatoka zanzibar.Mtaweza mtanange wa makamanda wa upinzani?? Kwa uchache tu nawataja..Lema,Mnyika,Wenje,Msigwa,Lissu,Zitto,Mdee,Abwao,heche,Sugu,Silinde na mwisho funga kazi Mbowe na Slaa.Hawa ni kama tone tu la maji katika makamanda watakaoongoza kampeni za upinzani Igunga.CCM B mpooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!
hivi tena chadema watatumia udini igunga?