William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Habari nilizozipata sasa hivi toka ndani ya CCM, zinasema kwamba Naibu katibu wa UV-CCM ndugu Francis Isaack, amesimamishwa kazi hiyo mara moja kwa tuhuma za ubadhirifu wa pesa, amesimamishwa kuanzia leo tarehe 18. 2. 09.
Tutakuwa na habari zaidi as soon zitakapopatikana..!
Tutakuwa na habari zaidi as soon zitakapopatikana..!
Last edited by a moderator: