Naibu Mkurugenzi TANESCO Deckian Mhaiki atangaza Tanzania kuanza kuuza umeme Kenya ndani ya miaka miwili

Naibu Mkurugenzi TANESCO Deckian Mhaiki atangaza Tanzania kuanza kuuza umeme Kenya ndani ya miaka miwili

Hawa mahayawani tumewachoka sasa. Kuna wakati waziri Mhongo alituambia kwamba serikali inaplan kununua umeme wa bei nafuu toka Ethiopia. Leo wanaota kuuza umeme nchi jirani. Nyambaaf!
 
Sina uhakika kama nimekuelewa unacho maanisha...Kwa nini kuna shortage?
Tumeshaambiwa miundombinu ya umeme ni ya zamani na inahitaji ukarabati wa hali ya juu. Vilevile, wapo wanaohujumu njia za umeme kwa kuiba nyaya na mafuta ya transfoma! Hizi ni sababu zinazosababisha ukosekanaji wa umeme kwa baadhi ya maeneo.
 
nafikiri
NITA PONGEZA ITAKAPO FIKIA HATUA YA KUPONGEZA SITA PONGEZA KWA TAKWIMU ZA KWENYE MAKARATASI NA BAHATI NZURI UMEME NI BIDHAA UNAYO IPATA MOJA KWA MOJA NA ISIYO HITAJI SABABU NYINGI NISIZO STAHILI KUZIJUA KAMA NIKI KULIPA IN ADVANCE(LUKU) TAYARI NI MKATABA NI WAJIBU WAKO UNILETEE UMEME SABABU NYINGINE YOYOTE NA TAKWIMU HAINA NAFASI VINGINEVYO INGEKUWA NCHI ZA WENZETU UNA SHTAKI SHIRIKA HAYA MAMBO YETU YA YANI,YANI NA ACTUALLY NDIO YANAYO TU DUMAZA MIAKA YOTE TUNATAKA UMEME UWE STABLE KWA WAKATI WOTE, I WISH KATIKA HIZO TAKWIMU ZAKO UNAJUA NI KIASI GANI KINAPOTEA KWA SAA MOJA YA KUKOSEKANA UMEME DSM,HAPA NINA KUJIBU UMEME ULI KATIKA KWA DAKIKA KUMI HUKU MBEZI BEACH,PENGINE HATU FANANI MIMI SI SIFU TU ILI MRADI,NINA SIFU KWA UBORA WA HUDUMA NA HUDUMA NZURI NA MUDA UKIFIKA NITAFANYA HIVYO WEWE UNATOSHA SANA KUWASIFU KWA SASA.
muda si mrefu utaungana na mimi kuwasifu brother.
 
Back
Top Bottom