johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HUYO SHUJAA WA NCHI JIRANI USHUJAA WAKE UMEMLAZA CHATONadhani Shujaa wa Nchi jirani anajulikana
Naibu Rais Gachagua amesema angekuwa yeye pale juu asingemlealea kabisa Raila Odinga na haya Uhuru Kenyatta analielewa hilo
Gachagua amesema ana vijana wa kutosha nyuma yake hivyo Raila aache upuuzi wa kuisumbua Serikali bila sababu za msingi
Mlale unono!
Kumbe unamjua, good!HUYO SHUJAA WA NCHI JIRANI USHUJAA WAKE UMEMLAZA CHATO
Wenu ndio nani?Je kama ni Kagame au Museveni? Huyo wenu anatenda nini wakati hayupo?
Ha ha ha! Umekazia ule usemi wa better live a coward than a dead hero!HUYO SHUJAA WA NCHI JIRANI USHUJAA WAKE UMEMLAZA CHATO
Maandamano yenye Mapumziko Yako Kenya tu!Napata picha eti Mbowe anatangaza kila jumatatu ni national holiday kipindi cha Chuma hahahaha Kenya kuna ujinga sana
Lkn cha moto mlikiona, wajanja wakabaki kuchangisha pesa ili waendelee kuishi ughaibuni huku wapumbavu wakidanganywa ni kwa ajili ya chama/kueneza maovu yanayofanywa na awamu ileHUYO SHUJAA WA NCHI JIRANI USHUJAA WAKE UMEMLAZA CHATO
Dunia ya sasa inataka viongozi kama hao kwa sababu Ujuwaji umekuwa mwingi!VP wa Kenya ni kama hamnazo hivi
Kwa hiyo mama Hajielewi?,Mm nna imani anajielewa ila tatizo lake anataka kufanya wajibu wake kwa majivuno na sifa yupo kama yule Beki wa simba mkongo.Shujaa wa nchi jirani ni Hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli.
Magufuli alikua hacheki na kima, anajua ukicheka na kima utavuna mabua.
Mfano, kiongozi unaejielewa ukae unacheka cheka na vichaa kama Lema unategemea hiyo itakua nchi ama danguro?
Lakini ndio hawezi sasa kabaki kula kungumanga ili macho yalegee.Kwa hiyo mama Hajielewi?,Mm nna imani anajielewa ila tatizo lake anataka kufanya wajibu wake kwa majivuno na sifa yupo kama yule Beki wa simba mkongo.
Nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari ya Citizen TVWatu wenye roho za kikatili watachangia sana huu uzi huku wakisisimkwa. Lakini johnthebaptist huwa haweki chanzo kwenye habari zake za kuungaunga!!
Alikuwa katili sana jamaa yenu. Kuna watu wamebaki vilema wa maisha kwa yeye kuendekeza watu waliokuwa wanausifia ukatili wake!!JPM alikuwa havumilii upuuzi, ushindwe uchaguzi alafu unaanza kusumbua nchi, ni bakora tu 😂