Naibu Rais Gachagua asema Ruto ni mpole sana angekuwa yeye pale juu angetenda kama Shujaa wa Nchi jirani!

Naibu Rais Gachagua asema Ruto ni mpole sana angekuwa yeye pale juu angetenda kama Shujaa wa Nchi jirani!

Shujaa wa nchi jirani ni Hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli.

Magufuli alikua hacheki na kima, anajua ukicheka na kima utavuna mabua.

Mfano, kiongozi unaejielewa ukae unacheka cheka na vichaa kama Lema unategemea hiyo itakua nchi ama danguro?
😆🤣🤣🤣
 
Nadhani Shujaa wa Nchi jirani anajulikana

Naibu Rais Gachagua amesema angekuwa yeye pale juu asingemlealea kabisa Raila Odinga na hata Uhuru Kenyatta analielewa hilo

Gachagua amesema ana vijana wa kutosha nyuma yake hivyo Raila aache upuuzi wa kuisumbua Serikali bila sababu za msingi

Mlale unono!
Shujaa aliyelazwa na vidudu....
 
JPM alikuwa havumilii upuuzi, ushindwe uchaguzi alafu unaanza kusumbua nchi, ni bakora tu 😂
Na vile vidudu havikumvumilia pia. Funza wakajipatia kwa mara ya kwanza steki ya Rais aliye madarakani..
 
Lkn cha moto mlikiona, wajanja wakabaki kuchangisha pesa ili waendelee kuishi ughaibuni huku wapumbavu wakidanganywa ni kwa ajili ya chama/kueneza maovu yanayofanywa na awamu ile
Sasa nani mshindi? Anayeliwa na funza au anayekula kitimoto na bia?
 
Endelea kujitoa akili tuu ila wengi humu tunakumbuka, hata hii site ya JF iliuziwa kesi ya kuchonga ili ifungiwe, na tunakumbuka internet ilifungwa nchi nzima na simu zetu zikaanza kusikilizwa bila sababu ya msingi, labda kwako hiyo ndio haki na demokrasia
Ww nae nani mpka wasikilize simu yako? Maskini na hohehahe kama ww unaetafuta kula tu ufatiliwe!!

Hakuna wa kukufatilia maskini ww takataka
 
Shujaa wa nchi jirani ni Hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli.

Magufuli alikua hacheki na kima, anajua ukicheka na kima utavuna mabua.

Mfano, kiongozi unaejielewa ukae unacheka cheka na vichaa kama Lema unategemea hiyo itakua nchi ama danguro?
Tunahitaji sana vichaa kama Lema ili nchi iendelee.

FIkra kinzani ni tunu kwa taifa lolote. Huwezi kujimilikisha nchi na watu ukawageuza mifugo
 
Niliwahi kuona asikari wa Uganda wamerusha bomu la machozi kwenye gari la Kiza Besigye halafu wakabana milango ili asiweze kufungua. Mzee aliteseka mule anaachiwa katoka mule yuko hoi😀😀
Mpaka leo humsikii akileta ule ujinga! Sasa Ruto aendelee kumchekea huyu mzee mpuuzi!
 
Nadhani Shujaa wa Nchi jirani anajulikana

Naibu Rais Gachagua amesema angekuwa yeye pale juu asingemlealea kabisa Raila Odinga na hata Uhuru Kenyatta analielewa hilo

Gachagua amesema ana vijana wa kutosha nyuma yake hivyo Raila aache upuuzi wa kuisumbua Serikali bila sababu za msingi

Mlale unono!
Kwani sheria za Kenya zinasemaje kuhusu kinachoendelea? Je nguvu ni bora kuliko akili na hekima? Kwann Suleiman hakuomba kwanza nguvu ili atawale watu? Bali aliomba hekima?
 
Shujaa wa nchi jirani ni Hayati Dr. John Joseph Pombe Magufuli.

Magufuli alikua hacheki na kima, anajua ukicheka na kima utavuna mabua.

Mfano, kiongozi unaejielewa ukae unacheka cheka na vichaa kama Lema unategemea hiyo itakua nchi ama danguro?
huyo magufuli ndio maana kwa ushenz na ushetan wake alikufa maana lilikua uwaji, tekaji, pigaji la risas na jambaz la kura.
 
Back
Top Bottom